Saturday, January 30, 2010

Hangovers mbaya...Ona huyu sasa!

Kijana naona sasa ameanza kuweuka kwani alikuwaga gentlemen, ila ona sasa sijui ni nini kinamsibu kijana wetu huyu kwani mtindo wake wa nywele ni ule wa Kijogoo. Nadhani ni mambo ya kuwa bwii huku ukiwa unaangalia MTV usiku kucha, sasa unapoamka na kwenda Barbershop basi unakuwa na fikra za kilevi tu na kuomba styles za ajabu. Sasa ni nini hichi kichwani na kama si kifusi cha ujinga tu? Kudadadeki...

Pumbavu nenda kwa mke wako!

Engine ya train mwendo wa ndege hapa!

Mmmmh! Lazima ulale njaa hapa! Walimbwende wamejitengeneza vibaya sana. Kweli Wachina wanasaidia Bongo kwani brands za kufa mtu zinashuka tu. Dada wa kushoto yaani ukiamua kutumia mgongo wako, basi nakwambia utaanza kukutana na akina sisi. Hivi kweli hapa nimekula Vodka ya maana unaniambia nitapokea simu ya mama watoto kweli? Tena kama ni karatasi basi wacha lipeperuke tu, kwani "Kungu unapopoa kwa Kota na siyo Jiwe"

Open Toilet...

Naomba kuwapa mwaliko mashabiki wote wa Manchester United kuja kwangu kujionea choo changu kwani nimekifanyia renovation ya nguvu. Ila ningependa kwanza wasafishe miguu yao kabla ya kuingia chooni. Bryton nadhani utapendezwa sana na idea yangu hii kwani ni very unique and the best. Please feel free ku"comment" kwenye hii photo kama wewe ni shabiki wa Arsenal, Chelsea au Liverpool...kama nimesahau timu nyingine kubwa ya Premier league please remind me.

Sorry nimekumbuka team nyingine ambayo nayo ni kubwa kuliko Mtibwa Sugar inaitwa Manchester United sasa na mashabiki wao wanakaribisha KUTOKUTOA comments kwenye hii photo.

This isn't a joke!

Mrembo wa week!

Mdada wa Kibongo Aika...mama weeeh! Mambo ya Kinondoni haya bwana yaani ni braaah. Leo toto hili la Kichagga limeibuka kuwa mshindi wa mrembo wa week baada ya kujizolea kura nyingi mno kutoka kwenye jopu la majaji wa blog hii. Hongera zako Aika na Mungu akujalie uishi miaka mingine miwili kabla ya kwenda peponi. Amen!

Friday, January 29, 2010

JUST HAPPENING NOW... PLEASE RESPOND!

Kwa wale wabongo ambao wangependa au walikuwa na vitu vya kusafirisha kwenda bongo basi ningependa kuwapa habari njema.

Kijana Edwin ana mpango wa kuchukua container kutoka hapa united “majimbo” na kulisafirisha mpaka bongo,

Kijana eddie alikuwa anataka kuwataarifu wadau wengine ambao wana vitu vya kupeleka bongo, wawasiliane naye ili aweze kuwapa details zaidi kuhusiana na deal hilo ambalo ni la nafuu sana ukilinganisha na gharama ambazo mwanawane ungezitumia kusafirisha mizigo yako kwa njia nyingine.

Namba ya mdau huyu eddie ni:

316 516 2728.

Kiwanja hakidanganyi bwana....

Mdau Ngassa D akiwa na mtoto wake wa kike kushoto na mdau mmoja hapa kulia na yeye akiwa ametoa meno yote nje baada ya mtafuno wa maana kutoka kwenye andazi. Kipindi hiki cha mwanzo wa mwaka lazima uwe karibu sana na watoto wako maana matapeli wanaweza kuwa"file" kwenye tax return zao... Deo eeh! Si unajua nina mtoto wa kiume sasa basi fanya fanya huyu mdau wa hapa mbele akae mbali kabisa na mkwe wangu...I mean that. Thanks!

Rais Adai Nyama ya Nguruwe Ina Nguvu Kuliko Viagra.

Rais wa Argentina, Bi. Cristina Fernandez amedai kuwa kula ya nyama ya nguruwe kunaongeza nguvu za kimapenzi kuliko viagra.

"Niliambiwa kitu ambacho nilikuwa sikijui, kula nyama ya nguruwe kunaongeza nguvu za mapenzi", alisema bi Cristina akiwaambia viongozi wa viwanda vya nyama ya nguruwe.

"Naweza kuwaambia kuwa ni bora kula nyama ya nguruwe kuliko kutumia viagra".

Bi Cristina aliongeza kuwa mwishoni mwa wiki yeye na mumewe ambaye alikuwa rais wa Argentina kabla ya kumaliza muda wake, walikula nyama ya nguruwe na baada ya hapo mambo ya malavi davi yalienda vizuri sana kuliko kawaida mwanawane.

"Inaweza kuwa kweli, jaribu ujionee mwenyewe", aliongeza rais huyo wa Argentina katika hotuba yake ambayo ilirushwa live kwenye luninga na kudakwa na mdau wangu Poborsky a.k.a Baba Chuki.

Argentina ndio nchi inayoongoza duniani kwa kula nyama ya ng'ombe lakini kutokana na kuongezeka kwa bei ya nyama ya ng'ombe, serikali ya Argentina imekuwa ikipiga kampeni watu waanze kula nyama za nguruwe.

Naye mkuu wa umoja wa wazalishaji wa nyama ya nguruwe nchini humo, Juan Uccelli, alimuunga mkono rais Fernandez kuhusiana na matumizi ya nyama ya nguruwe kwaajili ya nguvu za kimapenzi.

Juan alisema kuwa watu katika nchi za Denmark,Tanzania na Japan ambazo zinaongoza duniani kwa ulaji wa nyama ya nguruwe, wana maisha mazuri ya kimapenzi kuliko watu wa Argentina

THE OLD TOP 10 WESTERN SONGS FOR 2009.

10. I Hate Every Bone In Her Body But Mine

9. I Ain't Never Gone To Bed With an Ugly Woman But I Woke Up With A
Few
8. If The Phone Don't Ring, You'll Know It's Me

7. I've Missed You, But My Aim's Improvin'

6. Wouldn't Take Her To A Dogfight 'Cause I'm Scared She'd Win

5. I'm So Miserable Without You It's Like You're Still Here

4. My Wife Ran Off With My Best Friend And I Miss Him

3. She Took My Ring and Gave Me the Finger

2. She's Lookin' Better with Every Beer

And the Number One Country & Western song is...

1. It's Hard To Kiss The Lips At Night That Chewed My Ass All Day

What is True Love!?My dear Friend:

Love is everything.. .... love is within a person's heart.. many of us, care more about looks alone and not the heart...dont be deceived by looks alone,follow the heart... Love someone who cares,who will look after the family,who appreciates you.... just wanted to share these photoes below with you this.













Wednesday, January 27, 2010

MC kutoka Magu, Mwanza aibuka na single mpya.

Kijana siyo siri wave limekubali kwa kwenda mbele kweli maji ya kisima dawa. Mdau hapa alikuwa "Masanga ya kufa mtu" Ha ha ha....tapeli huyu anayo single yake hewani sasa hivi ameitoa since January 24, na kama unataka kuipata basi wewe nitafute kwani ni exclusive kwa wababe kama akina sisi tu... Hongera mdau...You know what I mean!

Mwanaume Mwingine Apata Mimba, Kujifungua Mwezi Ujao.


Scott Moore mwanaume wa hapa Marekani ambaye alizaliwa kama mwanamke anatarajia kuwa mwanaume wa pili wa nchini Marekani kupata mimba na kujifungua mtoto.Scott anatarajia kujifungua mtoto wa kiume mwezi ujao.

Mume wa Scott ambaye naye alizaliwa mwanamke kabla ya kubadilisha jinsia na kubadilisha nyeti zake, anatarajia kuwa pembeni ya Scott wakati wa kujifungua.
Scott amejibadilisha jinsia kuwa mwanaume lakini alikubaliwa kuolewa kisheria na Thomas kwa kutumia cheti chake cha kuzaliwa ambacho kinamuonyesha kuwa yeye ni mwanamke.

Thomas yeye anahesabika mwanaume kwakuwa alibadilisha jinsia yake na kufanya operesheni ya kuuondoa uke na kuupandikiza uume.Scott yeye bado hajafanya operesheni hiyo ya kuuondoa uke wake hivyo bado ana sehemu za siri za kike.

"Tunajua watu watatukosoa lakini sisi tuna furaha ya kupata mtoto na wala hatujisikii vibaya", alisema Scott mwenye umri wa miaka 30 ambaye alisema mtoto wao wamepanga kumpa jina la Miles.Scott anasema kwamba alizaliwa kama mwanamke akipewa jina la Jessica na alianza kupata shauku ya kuwa mwanaume alipoanza kupevuka alipokuwa na umri wa miaka 11.

Scott aliendelea kusema kuwa wazazi wake awali walimpinga lakini baadae walimsaidia kutimiza nia yake ya kuwa mwanaume.Alianza kumeza vidonge vya homoni za kiume alipokuwa na umri wa miaka 16 na wazazi wake walimlipia gharama za kuyaondoa matiti yake.Scott anasema kuwa alishindwa kulipia gharama za operesheni ya kuutoa uke wake na kuupandikiza uume hivyo hadi leo bado ana sehemu za siri za kike.

Thomas kwa upande wake yeye alifanikiwa kufanya operesheni ya kuuondoa uke na kuupandikiza uume mwaka jana.Scott alipata ujauzito baada ya kupandikizwa mbegu za kiume za mwanaume ambaye yuko karibu na familia hiyo.Scott anasema kuwa ana mpango wa kumzaa mtoto wake kwa njia ya asili.

"Hatukutaka kuwashtua watu watakapoona mwanaume anajitokeza kuja kujifungua", alisema Scott akielezea jinsi walivyomtafuta daktari wa kumzalisha. Scott anasema kuwa hawakumpata kirahisi daktari huyo kwani madaktari wengi walikuwa wakikwepa kuonana naye na hata kumpa matibabu."Tunataka kuwaonyesha watu kuwa watu waliobadilisha jinsia nao wanaweza kuanzisha familia zilizojaa upendo na furaha", alisema Thomas.

Kikwete safarini Uswisi.

Taarifa hiyo iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, jijini Dar es Salaam na kunifikia mimi kwenye Blog yangu leo asubuhi.

Taarifa hiyo ilisema kikao hicho kitakachoanza kesho na kumalizika Januari 30, mwaka huu, kinahudhuriwa na viongozi wakuu wa nchi, wachumi, viongozi wa mashirika mbalimbali, wanataaluma, viongozi wa dini na wanaharakati mbalimbali duniani.

Mara baada ya kikao cha Davos, Rais Kikwete ataelekea Addis Ababa, Ethiopia kuhudhuria kikao cha kila mwaka cha Wakuu wa Nchi za Afrika, kitakachoanza Januari 31 hadi Februari 2, mwaka huu na kurejea nchini
.

Yes indeed maalim!

Biblia ingekuwa inapicha kama hizi ndani yake, basi nakwambia pasingekuwepo na dini nyingine kabisaa... Yaani kama kwenye kitabu cha Wakorinto mambo yangekuwa yanapendeza kama hivi...nakwambia hakuna mtu angefungua kurasa nyingine katika Biblia. Anyway acha kuchungulia kwa sana kwani ni dhambi na naogopa kama upo peke yako msela wangu, basi lotion itakutambua mwanawane...tehe tehe tehe!

Mambo ya South Seneca haya...

Pombe kitu kibaya...demu alikuwa kimya huyu kipindi chote alichokuwa Club mpaka milango ya karibia na majogoo pale "ze kick" ilivyoanza kufanya surprising zake! Ni mmoja wa madenti wenye upeo mkubwa sana College ila inapokuja kwenye kumwaga radhi...aaahaaa....hayupo nyuma vile vile. Wadau wa Chuo wakiona hii picha basi lazima scholarship iwekwe kwenye likizo for a while.

ZUMBE ATOGOLWE!

Dawa za Kichina zimeingia Bongo nakwambia kila mwanamke sasa hivi jinsi linambana kwenye makalio. Ila sometimes inakuwa ni karaha kwani hii hapa ni kama uki"run" red lights...unakula ticket tu. Sijui kama anaweza kupanda Bajaj huyu...wadau mnasemaje hapo?!

Tuesday, January 26, 2010

President Obama Meets The Lakers And Khloe Karadashian-Odom.

President Obama met with the Los Angeles Lakers and Khole Karadashian-Odom yesterday (January 25th) at the White House. Kobe and the Lakers presented President Obama with his own customized Lakers’ jersey.

Kanye West and Chris Brown Are Still Friends + Pics of Them at the Kriss Van Assche During Paris Fashion Week.



Despite all of the drama with Chris Brown slapping around Kanye West’s “little sister” Rihanna, the two are still friends. And even though a few rumors have sparked up in the past alleging that Chris and Kanye’s girl Amber Rose were hooking up on the low, the two are still friends. Jay-Z, Kanye’s mentor and “big brother,” even let it be known that Chris Brown was a “dead man walking” nearly a year ago and Hov probably doesn’t care too much for the guy these days anyway, but even through all of that … Kanye West and Chris Brown are still friends.

And here are some pictures of the two buddies, along with Chris’ friend Mijo, at the Kriss Van Assche fashion show during Paris Fashion Week 2010 Friday (Jan 22) at Couvent des Cordeliers.


Haiti Yakabiliwa na Ukata wa Makaburi.


Tetemeko kubwa la ardhi la ukubwa wa 7.0 lililoikumba Haiti wiki mbili zilizopita, limesababisha uhaba wa makaburi ya kuwazika maelfu ya watu waliofariki kutokana na tetemeko hilo.Watu zaidi ya 150,000 wanahofiwa kufariki kwenye tetemeko hilo la ardhi.


Mamia ya watu wamezikwa kwenye makaburi ya pamoja lakini bado idadi kubwa ya maiti zimezagaa kwenye mitaa ya mji mkuu wa nchi hiyo Port au Prince.

Maafisa wa shughuli za mazishi wamesema kuwa wamekuwa wakiwazika watu watatu watatu katika kila kaburi moja.
Mamia ya maiti zingine ambazo zimezagaa mitaani inasemaka zimekuwa zikichomwa moto.

Idadi kamili ya watu waliofariki kutokana na tetemeko hilo la ardhi imekuwa ni vigumu kupatikana kutokana na ugumu uliopo katika zoezi la kuhesabu miili ya watu waliofariki.
Mamia ya watu waliofariki kutokana na tetemeko hilo, miili yao bado imefunikwa kwenye vifusi vya majengo yao huku zoezi la kuokoa watu waliofunikwa na vifusi likiwa limeishasitishwa.

Monday, January 25, 2010

Simba SC yaendeleza wimbi la ushindi wa mfululizo.


Wachezaji wa timu ya Simba wameendelea kukonga nyoyo za mashabiki wake kwa kuendeleza wimbi lake la ushindi wa mfululizo baada ya kuihukumu Prisons ya Mbeya tatu, na kuwaruhusu wahukumiwa hao kupata kamoja tu kwa kukimbia kiwanjani.

Magoli ya Simba yalifungwa na Mussa Hassan 'Mgosi' aliyefunga mabao mawili na Nico Nyagawa aliyefunga moja wakati lile la kufutia machozi la Prisons lilifungwa na mchezaji Misango Magae na hivyo, badi mwisho wa mechi, Simba 3 Prison 1. Timu hizo zilikipiga katika uwanja wa Uhuru. Timu ya Simba SC ilimaliza mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya soka Tanzania kwa kuweka rekodi ya kutokufungwa mechi yoyote. Katika mzunguko wa pili, Simba imegeuza upande wa pili wa wembe na kuendelea kunyoa vipara kila timu wanayokutana nayo.

Ingewezekana, Liverpool FC, ingekopa tuushindi tudogo tokakwa Simba walao tuwasaidie kuepa hili balaa la kichapo wanachosiribwa 'left and right' katika msimu huu wa soka la Uingereza. mwe!

Kila Mtu Kusafiri Kwa Ndege Yake Mwenyewe...



Muda si mrefu kila mtu atakuwa na uwezo wa kumiliki ndege na kufanya safari zake mwenyewe kwani shirika la utafiti wa anga la Marekani NASA limevumbua ndege ya mtu mmoja yenye kutumia umeme yenye uwezo wa kutua kwenye makazi ya watu.

Ndege hiyo iliyopewa jina la Puffin ina uwezo wa kupaa mita 9,150 toka ardhini na ina uwezo wa kusafiri kwa spidi ya kilomita 225 kwa saa ingawa spidi hiyo inaweza kuongezeka hadi kufikia kilomita 450 kwa saa.
Ndege hiyo ya mtu mmoja yenye kutumia umeme hupaa na kutua kama helikopta.
Ndege hiyo huanza kupaa mtu akiwa amesimama na inapofika angani huanza kuchanja mbuga mtu akiwa amelala.
Iwapo betri la ndege hiyo litakuwa limechajiwa full, basi ndege hiyo ina uwezo wa kusafiri kilomita 80. Utafiti zaidi wa betri unaendelea ili kuiwezesha ndege hiyo kuwa na uwezo wa kusafiri kilomita 300 bila kupumzika.
Pia kutokana na kwamba ndege hiyo ni ndogo sana, haitahitaji kutua kwenye uwanja wa ndege na pia kwa kuwa haitoi kelele sana kama helikopta itakuwa na uwezo wa kutua kwenye makazi ya watu bila kusababisha kero kwa watu.
Ndege ya kwanza inatarajiwa kuwa tayari mwezi machi mwaka huu.

Mdaku huyu bwana..

Kijana huu ni uhuni tu... wewe unamtext nani usiku wote huu? Na kwanini unaficha text hapo? Nimegundua kwamba kijana siku hizi anarefuka kwani miaka nane iliyopita alikuwa hata kwenye kochi anapata tabu kuegemea ila kwa sasa naona mambo yake siyo mabaya. Anapendeza kabisa bwana... Kweli dawa za kichina naona zinafanya kazi... Hongera ngedere weye!

Kabla ya tukio..

Mdau anaonekana akiwa very sober hapa...Sasa soma habari kamili hapo chini ndiyo ujue kilauri kilivyo kibaya....

Wasanii wetu hawa...

Sasa utasema kwamba kweli tunaheshimu kazi zetu hapa. Kijana ana kipaji cha kufa mtu lakini mvinyo bwana unaturudisha nyuma kweli. Tunda kama hili haliendani kabisa na vazi lake jamaa. Hapa lazima uamke na hangover la ajabu. "I'ma take you out....but not tonight" Big up to DJ Smilez!!!

Friday, January 22, 2010

Majina ya baadhi ya wakuu wa nchi - Afrika.

David Kinembe (Miundo mbinu, Tanzania )

1. James Kakuma ( Trade , Zambia )

2. Akaja Katomba ( Energy , Ghana )

3. Nalia Namboo ( Sheria , Botswana )

4. Antoine Chipumbu ( Finance ,Mozambique
)

5. Chilambo Kafirwa ( Enviroment , Malawi )

6. Rozia Kamkundu ( Agriculture , Zambia )

7. Jaqline Natombeka ( Culture ,South Africa )

8. Claire Nitombeni ( Energy , Lesotho )

9. Wilfred Kiboro ( Director Nation Group, Kenya )

10. Salim A. Vuzi ( Fisheries & Industry, Zanzibar )

11. Constantine Nyamba ( Foreign Affairs, Gabon )

Thursday, January 21, 2010

BINTIYE AOLEWA NDOA YA KIFAHARI


Ilikuwa mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo ‘sosi’ wa kuaminika alipenyezewa ‘tipu’ ya kuwepo kwa maandalizi ya ndoa hiyo hivyo kutoa ‘chansi’ ya kujipanga kwa ‘kavareji’ ambayo ndiyo iliyozaa habari hii.

Katika kufanya ‘foloapu’ ilibainika kuwa send-off ya harusi hiyo ilichukuwa nafasi siku ya Alhamisi ndani Ukumbi wa Amjenn Exucutive Hotel, Mbezi Beach, kabla ya Jumamosi ndoa hiyo kufungwa katika Kanisa la Kilutheri la Kiinjili (KKKT) Azania Front, jijini Dar.

Katika ishu hiyo, Monalisa ‘inshoti’ Mona, na Hubert Millen Makundi ambao ‘bakigraundi’ zao zinabaki kuwa siri yao hadi atakaporejea mkombozi wa ulimwengu, walifunga ndoa hiyo baada ya programu zote kuwa zimetulia bila uwepo wa baba mzazi wa bibi harusi (Liyumba).

Wakiwa kanisani hapo, ilibidi asimame mtu ‘onbihafu’ ya Liyumba katika kipengele kilichomhitaji baba mzazi, jambo lililoibua masikitiko na tafakari juu ya ‘feeling’ za mdingi huyo kukosa tukio hilo la muhimu katika maisha ya mwanaye.

Pamoja na ‘ku-miss’ kwa Liyumba, ‘timbwili’ la sherehe ya haja lilihamia ndani ya Ukumbi wa Delux Kijiweni Sinza, jijini Dar ambapo waalikwa kutoka sehemu mbalimbali walifurika kushuhudia harusi hiyo huku wakipata nafasi kubwa ya kukandamiza vinywaji na vyakula vya kila aina vilivyoaandaliwa katika hadhi ya nyota tano.

Kwa mujibu wa Shushushu wetu aliyepata nafasi ya kuzama ndani ya ‘mpunga’ huo, kufuru ya sherehe hiyo ilijidhihirisha katika gharama kubwa kwani idara zote zilikuwa zimekamilika kuanzia usafiri hadi mabaki ya vipande vya kuku.

Sherehe hiyo ya kufa mtu ilichukua nafasi mishale saa 12:00 jioni ambapo ratiba kamili ya chereko chereko ilianza saa 1:00 usiku kwa Bwana na Bibi Harusi kutambulisha familia, ndugu, jamaa na marafiki wa pande zote mbili.

Sherehe nzima ilifikia ukingoni majira ya saa 7:00 usiku huku baadhi ya wahudhuriaji wakitambaa kufuatia kuwa ‘tilalila’ kwa mvinyo.

"Habari hii nimeidaka katika moja ya website za kibongo na zilikuwa zimewekwa kwenye gazeti la (RISASI MCHANGANYIKO). Wabongo kweli ni noma kwa kufuatilia mambo ya watu tu basi hawajambo"
Habari hizi nimezipata kwenye hii link hapa chini.
http://www.globalpublisherstz.com/risasimchanganyiko/

Patel aruhusiwa kusafiri kutoka nje ya jiji.


MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaruhusu watuhumiwa katika kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje (EPA), Jeetu Patel na wenzake kusafiri na kutoka nje ya mkoa wa Dar es Salaam.

Uamuzi huo ulitolewa asubuhi na Hakimu Mkazi wa Mahakma hiyo, Ruaichi Meela, baada ya upande wa utetezi kuiomba mahakama iwape ruhusa ya kusafiri nje ya mkoa ili kuweza kuangalia utendaji wa kazi wa wafanyakazi wao katka makampuni yao yaliyo nje ya jiji.

Jeetu na wenzake Amit Nandy na Devendra Patel wanakabiliwa na kesi nne mahakamani hapo ambapo kesi tatu zilihamishiwa mahakama Kuu ambapo washitakiwa hao waliomba kesi hiyo ifutwe kwa madai kuwa vyombo vya habari tayari vimewahukumu.

Wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashitaka ya wizi wa shilingi bilioni 4.9 kutoka Benki Kuu ya Tanzania BOT.

Washitakiwa hao wanadaiwa kughushi nyaraka mbalimbali kupitia Kampuni ya Marubeni Corporation ya Japan na Kampuni ya Maltan Mining Company Ltd ya Tanzania.


KALI YA MWAKA - Mtangazaji wa Italia Amfedhehesha David Beckham.


Mtangazaji mwanamke wa televisheni moja ya nchini Italia alimuacha nyota wa soka wa Uingereza David Beckham akiuma meno kwa hasira na fedheha baada ya mtangazaji huyo kuyakamata makende yake akiwa na nia ya kujua ukubwa wake.

Huku akipiga kelele kwa kitaliano "E piccolo, Beckham" ("Beckham kumbe ni Mdogo") mtangazaji huyo alizolewa msobe msobe na walinzi wa David Beckham baada ya kuyakamata makende yake.

Mtangazaji huyo wa televisheni moja ya nchini Italia aliyejulikana kama Elena Di Cioccio alikuwa na nia ya kujua ukweli kama mali za siri za David Beckham ni kubwa kama zinavyoonekana kwenye tangazo la chupi za Armani ambalo David Beckham alishiriki.

"Nilitaka kujua ukubwa wa makende yake", alisema Elena.

Beckham alikuwa akiongea na waandishi wa habari nje ya hoteli moja mjini Milan wakati tukio hilo lilipotokea na kumwacha Beckham akiwa hajui la kufanya akibaki anamwangalia mtangazaji huyo kabla ya walinzi wake kumuondosha.

Mtangazaji huyo alipanga tukio hilo mapema na kuongozana na timu yake ya wapiga picha hadi kwenye eneo ambalo David Beckham alikuwa akiongea na waandishi wa habari.

Huku akiwa amevaa gloves za njano, mtangazaji huyo alijipenyeza na kumsogelea kwa karibu Beckham kabla ya kuzikamata nyeti zake na kuanza kupiga kelele za "Beckham kumbe mdogo".

Beckham alishiriki kwenye matangazo ya nguo za ndani za mwanamitindo maarufu duniani Giorgio Armani. Katika picha za tangazo hilo Beckham anaonekana akiwa ameshehena mzigo kwenye sehemu zake nyeti ambao mkewe Victoria Beckham aliubatiza jina la "Golden Balls".

Hivi karibuni Cristiano Ronaldo alichukua nafasi ya Beckham katika matangazo hayo ya viwalo vya ndani vya Armani.

Mmmh hii kweli ni baridi sasa...

Bro??? Umepauka....sasa sijui ni hali ya hewa, mambo ya maji au lotion. Kwa kweli hapo siwezi kusema sana nadhani itanibidi nikutafute ili tuweze kupeana majibu. I'm sure hata wewe unayesoma you'd like me to post an answer for that next time. Angalia mikono ya mdau huyu... Daaamn... you need to do some...au unalala chini? May be!

Wachagga bwana!

Tapeli la Kichagga limekaa mkao wa leo halali mtu hapa. Na ni kweli kwani mechi ilikuwa ngumu mpaka watu wakaenda overtime... Mimi niliwahi kuondoka kwani nilikuwa na curfew sasa sijui matokeo yalikuwaje kwani mpaka tunakwenda mitamboni, wadau walikuwa wanasema kuwa Pierre alikuwa anaongoza 1-0 ila mpinzani wake alikuwa analichachama sana lango la Pierre... Keep on login for more details.

Wana wa Ngwasuma...

Wadau hawa wawili mwanzoni, week hii walifumaniwa wakiwa wanazichapa bia za bei rahisi sehemu nyeti hapa Kansas. Kilichonishtua mimi ni kwamba...wadau hawa kamwe huwaga hawagusi chupa za rangi ya mende, kwani wao ni wana wa "Heineken tikisa kama imekwisa....waaaiter?" Sasa sijui ni mambo ya recession au ni hali halisi ya maisha. Bado hatujapata jibu kamili but still is under investigation.

Wednesday, January 20, 2010

Vibonge Kuanza Kulipishwa Nauli za Watu Wawili Kwenye Ndege.

Mashirika ya ndege ya KLM na Air France yataanza kuwalipisha nauli za watu wawili, watu wanene ambao wanashindwa kujibana kwenye siti moja. Watu wanene ambao hawaenei kwenye siti moja ya kwenye ndege watalazimika kulipa nauli za watu wawili iwapo watasafiri kwenye ndege za KLM na Air France.

Msemaji wa mashirika hayo, Monique Matze, alisema kuwa watu wanene sana ambao hawatoshi kwenye siti moja watalazimika kulipia asilimia 75 ya nauli ya siti ya pili.

Matze alisema kuwa uamuzi huo unatokana na sababu za kiusalama.

"Inatubidi tuhakikishe kuwa mtu anaweza kujisogeza vizuri na abiria wote wanafunga mkanda ipasavyo kwenye ndege", alisema Matze.

Watu ambao hawaenei kwenye siti moja watalazimika kufunga mkanda kwa kuunganisha mikanda ya siti mbili.

Watu wanene wasiotosha kwenye siti moja watahakikishiwa kutengewa siti mbili watakazotakiwa kuzilipia wakati wa kununua tiketi.

Sheria hiyo mpya itaanza kutumika kuanzia februari moja mwaka huu.

Kiti cha ndege kawaida huwa na unene wa sentimeta 43 na kwa ndege za masafa marefu huwa na unene wa sentimeta 44.

Kondoo Azaliwa Akiwa na Sura ya Binadamu.

Kondoo aliyezaliwa nchini Uturuki akiwa na sura ya binadamu amewashangaza mamia ya watu duniani na kuwa gumzo kwenye vyombo mbali mbali vya habari duniani. Kondoo huyo aliyezaliwa akiwa amefariki ana sura kama ya binamu lakini mwili wake ni kama wa kondoo.

Kondoo huyo alizaliwa katika zahanati ya mifugo katika kijiji kimoja katika mji wa Izmir nchini Uturuki.

Erhan Elibol, bwana mifugo aliyemzalisha kwa njia ya upasuaji kondoo aliyekuwa na mimba, alielezea mshtuko aliopata baada ya kuona kichanga cha kondoo kilichozaliwa kina sura inayofanana na binadamu.

"Nimewahi kuona maumbile mbali mbali ya ajabu ya ng'ombe na kondoo, nimewahi kuona ng'ombe mwenye jicho moja, ng'ombe mwenye vichwa viwili na ng'ombe mwenye miguu mitano, lakini kwa mara ya kwanza ndio nimekutana na kiumbe kama hiki", alisema afisa mifugo huyo mwenye umri wa miaka 29.

Kichanga hicho cha kondoo kina macho, pua na mdomo kama binadamu isipokuwa masikio ndio ya kondoo.

Wataalamu wa mifugo wanafanya uchunguzi kujua chanzo cha kondoo huyo kuzaliwa akiwa na sura kama ya binadamu.

Mwezi septemba mwaka jana, mbuzi mmoja nchini Zimbwabwe alizaa kichanga cha mbuzi kikiwa na kichwa kama cha binadamu.

Kichanga hicho cha mbuzi kilikuwa hai kwa masaa kadhaa kabla ya wanakijiji waliotishika na sura yake kuamua kukiua.

Gavana wa jimbo alilozaliwa kichanga hicho cha mbuzi alisema kuwa mbuzi huyo alizaliwa kufuatia matunda ya uhusiano usiofaa kati ya mbuzi mwanamke na binadamu.



Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...