Monday, February 1, 2010

Nadhani kilichofuata ni TIFU!

Ingekuwa kama ni wewe ungefanya nini hapa? Maana kwa kweli inaonekana kama washkaji hawa wanamapenzi ya makaratasi kama wengi wetu tulivyo huku. Kwani inabidi ukubali matokeo tu no matter what the circumstances are...au wewe mdau Munis unacomment vipi hapa? Thanks!

Mmmh...mimi hapa siamini kabisaaaa...

Huyu naye kinamchekesha nini sasa jamani? Huwezi kunywa hiyo bia ya watulivu na kuanza kumwaga lazi kama hizi bwana! Nadhani alichukua hicho kinywaji kwa mdau wa nyuma pale ili apige nacho picha. By looking at this photo, unashtukia kabisa kuwa mdau huyu alikuja na VISA ya visiting. I don't wanna write much kwani wanaweza kuni"sue" bure. Mwanamke wig bwana!

Mademu wa Kibongo hawaaminiani kabisa...

Dada kaona hapa kilaji mdau kakichapa lazima aende nyumbani na mimi kwani, yasije yakawa mambo ya "Blame it on the a-a-a-a-a alcohol". Angalia shati ilivyovyutwa yaani kweli hii ni braah! Kuna njemba upande wa kushoto pale akiwa ana vazi la Jersey za Walmart, nadhani alikuwa anazomea floor yule. Lager za bure hizi zinarudigi mida mibaya sana mwanawane!

Togo Wafungiwa Kushiriki Mashindano Ya Afrika...

Mmoja wa mwili ya waiouwawa katika timu ya Togo na waasi.

Halmashauri kuu ya CAF imeifungia timu ya Togo kwa uamuzi wake wa kujiondoa kwenye michuano ya Afrika huko Angola. CAF iliona kitendo hicho cha CAF kujitoa kwenye michuano hiyo ni cha kisiasa zaidi, hii ni sababu wachezaji walikuwa wako tayari kushiriki. Uamuzi huu unaifungia Togo katika michuano ya Afrika ya mwaka 2012 na 2014.

Mpaka sasa watu wengi wamekasirishwa na uamuzi huwo wa CAF kwa kutozingatia hali halisi ambapo watu watatu wa timu ya Togo waliuwawa siku mbili tu kabla ya michuano hiyo kuanza.

Sebene inapokolea...

Karatasi hili...limemuacha mdau anapiga double ya kubeba wazee kazini halafu yeye kawaita marafiki wake na kwenda kujimwaga kwenye starehe. Hapa bwana lazima ukubali matokeo kwani navyowajua wabantu mimi...hili karatasi halina muda mrefu litakushinda tu. Ila nachowashukuru Wabongo wenzangu ni kwamba, wengi wao ni wavumilivu kweli kwani ndiyo hali halisi ya kupata kibanda cha karatasi...au wewe Martin unaniambiaje?

Aisha Madinda mwanawane...

Daah....ndiyo maana Bongo UKIMWI umezagaa sasa kweli jamani unataka kuniambia umezichapa lager za maana na umepitiwa mbele na jimama kama hili, then likaomba lift na kutaka umsaidie kumlipia chakula...kweli mwanawane unataka kuniambia utakataa ofa ya kwenda kumaliza kiu? Acha habari yako wewe... Maisha mafupi bwana kama ukipata ngoma ni kama kupinduka kwenye Bajaj tu.

That's not her food....

Sasa niambie kama wewe unaweza ku"handle" jimama kama hili? Acha mchezo bwana kuna magari mengine yametengenezwa ili yasiendeshwe na watu ni kwa ajili ya maonyesho kama sabasaba vile. Hapa hakinyanyuka lazima kila mtu amtazame bwana kwani ni one in a million kuona makalio kama haya duniani.

Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...