Monday, February 15, 2010

Muafrika Kusini Atwaa Taji la Urembo wa Mashoga wa Dunia.

Charl Van den Berg, 28, shoga toka Afrika Kusini aliwafunika mashoga wenzake toka Australia, Hong Kong, China, Tanzania na Hispania na kutwaa taji la dunia la kumtafuta mwanaume shoga mrembo kuliko wote duniani kwa mwaka 2010. Charl ambaye anaendesha mgahawa wa chakula mjini Cape Town nchini Afrika Kusini alitwaa taji hilo baada ya mashindano ya siku nne ya kuvaa mavazi mbalimbali yakiwemo mavazi ya kuogelea.

Taarifa ya waandaaji wa mashindano hayo ilisema kuwa dhumuni kubwa la mashindano haya ni kumtafuta mtu atakayekuwa kiongozi wao katika kutetea haki za mashoga duniani. Xiaodai Muyi, 26, shoga toka China alishiriki na kushika nafasi ya nne katika mashindano hayo pamoja na hatua za China kumzuia asishiriki mashindano hayo.

Mamlaka za China ziliyapiga marufuku mashindano ya kumtafuta mwakilishi wa China katika mashindano hayo. Xiaodai aliingizwa kisiri kwenye mashindano hayo ambayo wanaume 20 toka nchi mbali mbali duniani walishiriki kumtafuta mrembo baina yao. Ushoga ulikuwa ni kosa la jinai nchini China hadi mwaka 1997 wakati sheria zilipobadilishwa na kuwahesabu mashoga ni watu wenye matatizo ya akili.

Raia wa Australia Byron Adu, 25, alishika nafasi ya pili akifuatiwa na Rick Dean Twombley, 33, mcheza dansi toka Hong Kong aliyeshika nafasi ya tatu huku Mhispania Sergio Lara, 26, akishika nafasi ya tano na Mulokozi Rugaimkamu Ngaiza “Mhaya” kutoka Bongo kuchukua nafasi ya Sita. Mashindano ya kwanza ya kumtafuta mrembo wa dunia wa mashoga yalifanyika mwaka jana nchini Canada ambapo mwanaume toka Kagera “TZ” alitwaa taji hilo.

Wazee wa FULL DOSE!

Hapa ukikaa vibaya utalalamika kesho...tapeli wa DC kulia akiwa na Mangi Meli na Mangi sina wote kutoka wilaya ya Tukuyu, Mkoani Iringa. Mdau wa kulia hapo juu yupo faster acha kabisa kwani anashikiria record ya ku"holla" kwa warembo 267 kwa usiku mmoja katika Club fulani hapa jijini kwetu Nairobi nchini Malawi..."DC where are you at" Pamoja na kuimba kwa warembo wote hao kijana huyu hata tarakimu ya uongo hakuweza kupata...sasa sijui ni lugha yake ni kikwazo na ndiyo maana hawakuweza kumuelewa na ni kwa vile hana point! Nitawauliza hawa Mangi pichani!

Tema mate chini weee!

Mmmh kuna magari makubwa na kuna makubwa magari ila sasa hiki sijui ni nini Mungu wangu miee! Na kwanini alikuwa anavuta tambala lake juu huyu? Baba Naima mbona unaonekana kusikitika? Kunani pale? Nakionea huruma sana kiti kile kwani shuruba kiliipata sawasawa! Mdada mkubwa huyu kawa Uwanja wa Dallas Cowboy...kudadadeki!

Ngwasuma ngwasuma ngwasuma...

Mambo gani ya kuweka mikoni kwenye kiuno wewe? Unafikiria hii ni Bongo eeh? Kaa chonjo hiyo miondoko yako inaweza kuleta braah kwa watu wengine. Mdau anafurahia starehe ya bure huyu. Hapa akiamka ndiyo atajikuta anajuta kwani "MAKARATASI" yalipiga simu kwa sana na kuamua kurusha vijishati vyake nje ya mlango...Akirudi nyumbani ataelewa nini maana ya CURFEW huyu!

Hii inatia uzuni kwa kweli!

Sasa unataka kuniambia kwamba kweli hapa kuna umoja jamani? Wewe kama unaweza kula bata Monday hadi Sunday na unajua kuna watoto kama hawa wanahitaji msaada basi lazima uje kuwa "KUNI" motoni nakwambia. Mimi siwezi kuamini kwamba mtoto mdogo kama huyu ataweza kufika mbali kiuchumi kwani mgogo wake hadi hapo tu utakuwa umechoka mbaya na unaniambia aende shule ana afaulu shule ya msingi. Serikali yetu inabidi kuweka mitihani tofauti kidogo kwani kwa wale wanaotaabika kwenda shule basi wapewe kiji"favor" bwana!

Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...