Thursday, February 11, 2010

Mambo gani sasa haya tena?

Kama kula tunda huwezi basi acha mwanawane. Sijui ni umri ndiyo umefikia pabaya au ni tatizo jingine kwani kijana aliangusha kwa muda mrefu bila hata kujifahamu. Chauka kuna Pobobawa kwangu so be careful! Hilo lilikuwa ni wazo la bure tu na ni warning kwako kwani siku nyingine unaweza ukaamka na mabaki ya yai bichi kwenye makalio.

Hii picha kapiga nani?

Wewe unampiga picha mwanamke kwenye kitanda akiwa ameshika kilaji...ulikuwa una maana gani? Dada huyu bwana kapendeza kweli na anaonekana wala halikuwa hana ihana na mtu kwani kajitulizia mkiwa wake kwenye kitanda cha Guest za Kimara. Lazima hapa utoke na mba kwani panaonekana kabisa kuwa hapafai mwanawane. Ila shemeji hoteli ya mtoto imependeza kweli...so tasty! Yummy yummy...

Jamani ni kiwanja kweli hapa?

Yaani kweli Bongo kuna mengi kwani watu wanakula "BATA" na ndala? Sasa kama wewe unakwenda kula tunda na hata huwezo wa kununua viatu tu huna unataka kuniambia kwamba una akili kweli? Ukikanyagwa je? Ndiyo maana nyapu za Bongo kucha mbaya kwani ni kwasababu ya kukanyagwa sana Kiwanja! This needs to stop!

Majani mabaya!

Mdau Ngassa D akiwa na Baba Naima...hapa inaonekana faza wa kushoto yupo majani si kitoto, na hiki kijiti nadhani ni cha Newton, Kansas kwani tapeli huyu hupenda sana kuhudhuria places hizo. Ngassa D nayeye anaonekana alikuwa ameshiba kweli maana alivyosimama tu basi utagundua kwamba Mpemba huyu alikuwa amevimbiwa!

Nguza, Papii kurudi gerezani kutumikia kifungo.

MAHAKAMA ya Rufaa nchini imeamuru mwanamuziki Nguza Vikingi na mwanae Johnson Nguza warudishwe gerezani kwenda kutumikia kifungo cha maisha baada ya kuonekana kuwa na hatia ya kutenda makosa hayo.

Mbali na wawili hao kurudishwa gerezani mahakama hiyo imewaachia huru watoto wa mwanamuziki huyo ambao wote walikuwa wanatumikia kifungo hicho baada ya mahakama hiyo kuona washitakiwa hao walibambikiziwa kesi.

Walioachiwa huru ni mshitakiwa wa tatu Mbanga Nguza na mshitakiwa wa nne, Fransic Nguza ambao ni watoto wa mwanamuziki huyo wameonekana kutokuwa na hatia na hawakuhusika katika ubakaji huo.

Nguza na Johnson “Papii” wamerudishwa gerezani kwa kupatikana na mashitaka matano ambayo yaliwarudisha rumande kati ya mashitaka 23 yaliyokuwa yanawakabili awali.

Hivyo hukumu hiyo ilioyotolewa mahakmani hapo leo asubuhi ndio mahakama ambayo ina mamlaka ya mwisho dhidi ya rufaa iliyowasilishwa na washitkwia hao na hawataweza kuachiwa huru tena labda msamaha wa rais uweze kuwakomboa wanamuziki hao.

Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...