Wednesday, January 20, 2010

Vibonge Kuanza Kulipishwa Nauli za Watu Wawili Kwenye Ndege.

Mashirika ya ndege ya KLM na Air France yataanza kuwalipisha nauli za watu wawili, watu wanene ambao wanashindwa kujibana kwenye siti moja. Watu wanene ambao hawaenei kwenye siti moja ya kwenye ndege watalazimika kulipa nauli za watu wawili iwapo watasafiri kwenye ndege za KLM na Air France.

Msemaji wa mashirika hayo, Monique Matze, alisema kuwa watu wanene sana ambao hawatoshi kwenye siti moja watalazimika kulipia asilimia 75 ya nauli ya siti ya pili.

Matze alisema kuwa uamuzi huo unatokana na sababu za kiusalama.

"Inatubidi tuhakikishe kuwa mtu anaweza kujisogeza vizuri na abiria wote wanafunga mkanda ipasavyo kwenye ndege", alisema Matze.

Watu ambao hawaenei kwenye siti moja watalazimika kufunga mkanda kwa kuunganisha mikanda ya siti mbili.

Watu wanene wasiotosha kwenye siti moja watahakikishiwa kutengewa siti mbili watakazotakiwa kuzilipia wakati wa kununua tiketi.

Sheria hiyo mpya itaanza kutumika kuanzia februari moja mwaka huu.

Kiti cha ndege kawaida huwa na unene wa sentimeta 43 na kwa ndege za masafa marefu huwa na unene wa sentimeta 44.

Kondoo Azaliwa Akiwa na Sura ya Binadamu.

Kondoo aliyezaliwa nchini Uturuki akiwa na sura ya binadamu amewashangaza mamia ya watu duniani na kuwa gumzo kwenye vyombo mbali mbali vya habari duniani. Kondoo huyo aliyezaliwa akiwa amefariki ana sura kama ya binamu lakini mwili wake ni kama wa kondoo.

Kondoo huyo alizaliwa katika zahanati ya mifugo katika kijiji kimoja katika mji wa Izmir nchini Uturuki.

Erhan Elibol, bwana mifugo aliyemzalisha kwa njia ya upasuaji kondoo aliyekuwa na mimba, alielezea mshtuko aliopata baada ya kuona kichanga cha kondoo kilichozaliwa kina sura inayofanana na binadamu.

"Nimewahi kuona maumbile mbali mbali ya ajabu ya ng'ombe na kondoo, nimewahi kuona ng'ombe mwenye jicho moja, ng'ombe mwenye vichwa viwili na ng'ombe mwenye miguu mitano, lakini kwa mara ya kwanza ndio nimekutana na kiumbe kama hiki", alisema afisa mifugo huyo mwenye umri wa miaka 29.

Kichanga hicho cha kondoo kina macho, pua na mdomo kama binadamu isipokuwa masikio ndio ya kondoo.

Wataalamu wa mifugo wanafanya uchunguzi kujua chanzo cha kondoo huyo kuzaliwa akiwa na sura kama ya binadamu.

Mwezi septemba mwaka jana, mbuzi mmoja nchini Zimbwabwe alizaa kichanga cha mbuzi kikiwa na kichwa kama cha binadamu.

Kichanga hicho cha mbuzi kilikuwa hai kwa masaa kadhaa kabla ya wanakijiji waliotishika na sura yake kuamua kukiua.

Gavana wa jimbo alilozaliwa kichanga hicho cha mbuzi alisema kuwa mbuzi huyo alizaliwa kufuatia matunda ya uhusiano usiofaa kati ya mbuzi mwanamke na binadamu.



Makaratasi magumu jamani!

Watu wanakula denda kwa kwenda mbele hapo. Umeyaona meno lakini wadau? Kwa kweli nimeamini karatasi ni gumu kuliko PhD.

Be very careful now.

Mdau anapenda menu za bure huyu na mwenzake Mohammed hayupo pichani. Yaani anakuwa kwenye misiba mingi sana si kwa ajili ya kuwapa pole wafiwa, ila ni kwa kuchapa menu tu na bwii za bure. Muone hapa kashakula tunda la kufa mtu na sasa anajivuta na kujiweka safi ili aweze kuaga kwani dhumuni la kuwapo hapo limeshamalizika. Dawa yako ipo jikoni...mstufikwanzitosta weee!

Sober!

Mzushi Manenge akiwa Sober anakuwa yupo very polite, subiria ze kick iingie kwenye brain ndiyo utamjua kuwa ni mchagga wa Kidia kule karibia na Kikarara...

Mrembo wa Week!

Wabongo hawavumi lakini wamo...Wewe ona mambo haya sasa!

Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...