Friday, February 12, 2010

Kibao kipya kinachovuma pale nchini Ethiopia!

Asikwambie mtu kibao hichi ni balaa kwa sasa na kinatamba sana kila kona ya nchi hiyo. Mwimbaji wake alikuwa ni Engineer wa Cornejo & Sons anakwenda kwa jina la Msukuma a.k.a Buluba. Unaweza ukakipata kibao hivi kama uki"log in" kwenye youtube.com. Title ya song hili ni "FUMBA MACHO" na ndiyo maana kila mdau hapa amefumba macho yake. Big ups kwa producer na writer wa song hilo ambaye anakwenda kwa jina la DJ Dula...Thanks a lot pal!

USIKU UNA MENGI MWANAWANE!

Mkali wa miondoko ya Rap nchini Marekani pichani kulia akiwa anaweka mambo ya after party safi. Mdau huyu bwana ana mke lakini naona kama pete ya ndoa ipo kwenye kidole tofauti vile au ni macho yangu tu? Halafu mbona shati limechomoka kwa mbele peke yake? Kunani pale mtu wangu?

Hii ilikuwa ni shughuli kwa kweli sasa wacha nijikalie kimya mtu wa watu mie nisije kajasutwa bure! Tehe tehe!

Hii kiwanja ni Child Abuse kabisa!

Hakuna kosa ambalo mwanafunzi wa shule ya msingi anatakiwa kuadhibiwa kama hivi bwana. Hapa unaweza kusema kuwa mwanafunzi atajifunza kweli kutokana adhabu kama hizi? Mwangalie huyu wa nyuma kwani hata shoes hana amejitahidi kweli kuja kufuta ujinga but mwalimu bado haoni hilo na kuendelea kumhadhibu...Mimi roho inaniuma kweli nikiona mambo kama haya hasa hasa yanatokea kwenye nchi za joto kama zetu kwani hapa hakanyanyuka huyu mtoto jasho mwili mzima na hewa nzito ya kumfanya mtu awe bubu for a while!

BONGO NGOMA HAITAISHA...

Sasa picha kama hii jamani inamaanisha nini? Hizi picha huwaga naziona kwenye website za watu wazima tu na sasa naona zimeanza kuingia bongo.(BONGO KUNANI) Dada umependeza mwayego kwani huo ni mkanda sijui au ni chachandu za kisasa.... yenye rangi nyekundu, imepita mahala pazuri kweli...muwashowasho huo...Umeona hiyo wewe Pierre "Kabumbu"?

WAPO WAPI HAWA?

Bongo kuendeleza fani ni kazi kwani matapeli wengi sana. Vijana walikuwa on fire kipindi kile cha kale ila baada ya kuwika bila mafanikio sasa sijui wamejichimbia wapi. Baadhi yao sasa hivi wapo hapa kwa baba Obama wanakula BATA as always. Mdau wa nyuma amekamata weusi kwa kwenda mbele, jua la bongo noma ila kwa sasa msela huyu yupo USa upande wa Mashariki kule karibia na Madson Square kaiva hivi....anaonekana kama " POINT FIVE"

Miss Mtwara Remix...

Ericka Mchatta pichani kulia...siamini amekua mmama hivi kweli tunda baya. Enzi za nyuma kisura alikuwa MVP kwenye mambo ya urembo ona sasa hivi....Daaamn hujafa hujaumbika kwa kweli! Kutoka kuwa kama Alicia Keys mpaka kuja kufanana na Busta Rhymes!

Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...