Monday, February 8, 2010

Uingereza Kuzibania Viza Za Wanafunzi.


Serikali ya Uingereza imetangaza kuweka sheria na masharti magumu katika utolewaji wa viza za uanafunzi.Waziri wa mambo ya ndani wa Uingereza, Alan Johnson ameiambia blog hii kuwa masharti magumu yameongezwa katika maombi ya viza za uanafunzi kwa wanafunzi toka nchi zote duniani.

Mojawapo ya masharti yaliyoongezwa katika uombaji wa viza za uanafunzi ni kwa mwanafunzi anayeomba viza kutakiwa awe anaongea kiingereza fasaha.
Miongoni mwa sheria ziliongezwa ni kama vile kuwazuia wanafunzi wenye viza za muda mfupi kuwaleta Uingereza jamaa zao kama vitegemezi (dependant) wao.

Sheria mpya zimewekwa kufuatia waziri mkuu wa Uingereza kutaka masharti ya utolewaji wa viza yaangaliwe upya kufuatia tukio la mwanafunzi wa Nigeria aliyemaliza masomo yake nchini Uingereza kujaribu kuilipua ndege ya Marekani bila mafanikio. Sababu kubwa ya kuwekwa kwa sheria hizi ni kupunguza idadi ya wanafunzi toka barani Afrika na Asia ambao hujishughulisha zaidi na kufanya kazi kuliko masomo yao.

Awali mwaka mmoja uliopita Uingereza iliongeza ugumu katika utolewaji wa viza za wanafunzi kwa kuwataka wanafunzi watoe vithibitisho vya kuweza kujilipia ada yote ya masomo yao na pia kuwa na uwezo wa kifedha kukimu gharama za maisha yao nchini Uingereza. Wiki iliyopita, Uingereza ilisimamisha kwa muda kupokea maombi ya viza za wanafunzi kutoka maeneo ya kaskazini mwa India, Nepal na Bangladesh. Hatua hiyo ilitokana na idadi kubwa kuliko kawaida ya maombi ya viza za uanafunzi toka maeneo hayo.

Wizara ya mambo ya ndani ya Uingereza imesema kuwa kutokana na masharti mapya ya utolewaji wa viza za wanafunzi, idadi ya wanafunzi watakaopewa viza itapungua sana lakini hata hivyo wizara hiyo ilikataa kutoa tathmini zao.

Nyangombori Remix 2010.

Goose alianguka...Mwanawane hii team inatisha kwani ilinza kula bata since morning mpaka morning na bado vijana walikuwa wanaliendeleza. Ila machizi wangu Bongo lini? Kwani naona mmeamua kuacha kwenda kusalimia wazazi nyumbani kwenu huko Vigwaza, Kibaha.



Matapeli hawa waliamua kumtimua DJ na kuanza kupiga live musics. Msanii wa kujitegemea Stanboi "The African Child" kulia akiwa ready kuturusha. Huyu Baba Chuki na matambaa tambaa yake kama "SAGAJIWE" lililotoka Iringa bwana. Next time nitampa na shuka kabisa alivae basi...tehe tehe tehe!


Wow...jamani mtoto ana "DOMO" zuri huyu...Jicho la maana na nyweli zilizokwenda kuchukua CPA na siyo wig kama za baadhi ya dada zetu. Ehe he he yule si mdau Rama? Anafanya nini tena sasa? Kweli usiku una mengi...Stanboi be careful kwani Baba Chuki anapenda magoli ya kuvizia huyu...ask me I know him better!


King Kupaz kavua hadi shati...mmh kazi ipo hapa. Mtoto anabahati sana hapa ilikuwa ni kwangu kwani kama si hivyo basi we would be talking about Child Support and stuff if you know what I mean.



Tapeli la Kibantu limetulia na karatasi. Mdada ana rangi ya kutia kama PERA. Hapa najua kila mtu anajidai kuwa yupo single ila hataki uende kwake...unajua hiyo ina maana ya kwamba kuna mtu anaishi naye. Hii story lazima niifuatilie kwani iko very interesting especially to my viewers.

Twendeni shule jamani...

Unafanya utani na Pombe...utaharisha. Tapeli Baba Chuki anaanza kuangusha taratibu...kijana amependeza ila sasa hii jersey inaonekana kama siyo yake kwani ni ndefu sana sehemu za mikononi.I'll ask him next time nakutana naye.


Kijana Eilmer na matapeli wa Wichita, Pierre kulia na Aaron kushoto wanaonekana wakimpongeza kamanda huyu kwani ana less than a week kuwa deployed Afghanistan ready for a real battle. Kila la heri SSG Eilmer Nkomo. "Acha kuzaa huko kwani wengi wenu nimesikia mmewazalisha sana watoto wa Kiarabu"


Hivi huyu jamaa anaona kweli? Tungi baya maana mdau kama huyu...unaweza kumkuta anakwambia bado yupo safi kuendesha gari na wakati hata kufumbua macho tu ni mtafutano...


Damn...sasa hii sijui ilikuwa ni kucheza mziki au ni mambo ya kinguonguo maana hii position iliyokuwa hapa ni balaa tupu. Chauka "KURA RAHA" maisha mafupi haya mpwa...

Kiwanja kitamu bwana...

Hii ilikuwa kwenye basement yangu...Vijana walikula BATA hawa acha mchezo. Hapa ilikuwa ni mishale ya kumi na unusu ya majogoo...



Mambo ya faranga bwana kwani tuliweka DJ wa kike kuturusha...Thanks to Mama Kunta kwani alitudundisha ma "Masotoo" ya enzi hizo za kina Bozi Boziana...kibao cha Tembe na Tembe kilinifanya nikumbe Home kabisaaa....



Nilimlipa DJ Smilez ili kutumbuiza vijina but it didn't work right kwani kijana hajazoea kuona leather coaches kama hizi. Ilimchukua few minutes tu kuanza kusinzia na kuacha sherehe inamsubiri azinduke...


Mdau analamba tungi huyu never seen before...hapa alikua ameanza na bia ya kijana ila hadi tunakaribia mishale ya morning alikuwa na bia ya Budweiser...Hadi tunakwenda mitamboni tapeli huyu alikuwa anaumwa vibaya sana....Pombe za bure ni sumu.

Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...