Sunday, July 11, 2010

Wabongo mbovu kweli mwanawane!

Jamani sasa hawa watu walikuwa wanaongea nini mpaka kuanza kuwekeana vidole kwenye videvu? Mimi naomba maoni yenu kwani sina la kuongezea hapa...Darubini zetu ziliwakuta hawa wadau kwenu sehemu za Starehe mitaa ya Mburahati, pale Kigoma mjini karibia na majengo ya Tanesco yaliyopo Kisumu nchini Botswana, Asia.


Mambo ya kitalii wanangu kweli nimekubali naona mnalamba ulabu. Mmmmh nimekosea bwana kumbe ni Fanta na naona kama wanashare kiaina fulani....Kweli Recession inapiga vibaya mpaka kwenye mambo ya sharing vinywaji laini? Hivi tajiri lile la Kihaya linalala vipi? Uamiaji noma kweli yaani....Mengine siwezi kusema kwani mambo ya kufa na kuwekwa kwenye "THE NEXT 48HRS" Mie sitaki kabisa na kwahiyo nimeamua kuishia hapo....For more details basi wewe ni"page" tu na Secretary wangu Salehe a.k.a Kanye West atanipindulia kilonga.


Mambo taratibu tutafika tu. Twanga Pepeta, FM Academia na Akudo kaeni mikao ya kufundishwa kwani Jemedali mkuu wa Miondoko ya "No Password" anakuja huko mwishoni mwa mwaka 2018. Kwa sasa yupo kwenye ziara ya muda mrefu huko Antarctica....I can't wait to see this dude...


Mr. Kovu a.k.a Ashley akiwa mkali kwa mnasa picha wetu jina tunalihifadhi, hapo majuzi kwenye bar ya Mchikichini pale karibia na Wembe Dovya, Kilosa katika mkoa wa Pwani. Kamkono kenyewe kanoro hivi halafu unataka kuwa mtemi...Yaani kuna watu wanapenda kufa Hai kabisaaa! Shati kama Carpet la bar....Mnzeshi weye mwana wa Ibisili!
Sasa huyu mdau mbona ananishangaza...hivi kweli unaweza kulala huku mkono wako ukiwa vile? Madawa ya kulevya kwa kwenda mbele hapa naona. Itabidi nimtafute kwani kwani na USCIS na wenyewe walikuwa wanamuulizia nadhani nikimpeleka Mpare huyu anayejiita Mhaya kwasababu alisomaga Uganda katika Shule za Watoto wa Mitaani, nadhani ninaweza kupata kajifungu ka noti.Mpare huyukwa sasa ameshajipa karatasi za " Wakora Waitu". Mwanawane acha mambo yako bwana embu rudi Same kwenu huko mkaanze kuwanga...Tandarubeta mrefu weye...

Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...