Thursday, February 18, 2010

BREAKING NEWS YOOO!

The boy is Hot jamani...you've got to see him to believe. Twendeni tukampe kijana wetu mkono kwani wanaanza hivi hivi hawa then tomorrow wanakuja kuwa kwenye map! We need to support our little bro all the way from East Africa to Wichita, Kansas. He's the best R&B singer from East and Central Africa so far na kama unabisha basi wewe google hii statement kwani kuna wadau kibao wanaoujua mziki wamempa hiyo rank. Kwa sasa mdau huyu yupo kwenye mazoezi makubwa sana kwaajili ya Tour hii...na kuna tetesi ambazo nimezipata ni kwamba kijana huyu anakuja na single kwenye Video ambayo itakuwa "FILMED" by MTV wenyewe yes I said MTV. Stanboi...boy you've got what it takes to be the best R&B you already know that so be humble and lets do this for the fans!

Amuua Mpenzi Wake Baada ya Kuambiwa Hayawezi Majambozi!

Peter Ling, 50, aliiambia mahakama kuwa alishindwa kuzitawala hasira zake baada ya kipenzi chake Linda Casey kumwambia kuwa hana kiungo cha siri kikubwa cha kuweza kumtosheleza hamu zake za kimapenzi, limeripoti gazeti la Daily Mail la Uingereza. Ling, aliandaa sehemu ya starehe jijini London kwaajili ya kukutana na Linda akiwa na nia ya kumuuliza kama Linda ana mwanaume mwingine pembeni.

Baada ya kukutana na baadae kufanya naye mapenzi, Ling alimgeukia Linda na kuanza kumhoji kuhusiana na emails alizozituma zinazohusiana na tovuti za kutafuta wachumba na pia kama ana mwanaume mwingine pembeni.
Wakati wa mabishano yaliyozuka wakati huo, Linda aliongelea masuala ya viungo vya siri vya Ling akimuambia kuwa uume wake ni mdogo sana kuweza kumtosheleza kimapenzi mwanawane.

"Nilikuwa ni kama bomu lililokuwa likisubiria kulipuka wakati wowote, alipotoa maoni hayo moja kwa moja yalizama kwenye akili zangu", Ling aliiambia mahakama."Siku zote nimekuwa nikiushuku ukubwa wa uume wangu", aliongeza Ling. Baada ya Linda kutoa maoni hayo, Ling alianza kumshushia kipigo Linda mpaka alipofariki.

Ling anaitaka mahakama iamue kesi hiyo kama mauaji bila kukusudia badala ya kesi ya mauaji ya kukusudia aliyofunguliwa.

Kesi hiyo inaendelea.

IMEKAAAJE HII!

Sasa kweli kabisa unataka kusema hapa tuna askari? Huyu mdau wa kushoto ameliweka rungu katika center bolt kabisa na wala hasikii mchafuko? Kuna mambo mengine bwana huwezi hata ku"comment" kwani ni aibu tupu. Wacha nijiangalizie hii photo tu na kumalizia majibu mwenyewe moyoni...Au mwanangwasuma wewe una la kuongezea hapa?

A reminder to those who are on facebook not to give too much of your personal details..!!




The girl in the picture posted the nice looking pictures on Facebook and of course she got like a million friends requests & she accepted of all of them. One of the guys started asking her to meet up and I guess to have sex, she refused his offers, but since it was Facebook she had put all her details there too so he had her address phone number etc, the next thing he showed up at her place and then the last 2 picture tell the story of what happened..... ..!!!!

Mdau unatisha mwanawane...

Bwana weee...hapa kwa kweli ni kama ahera kwani mdau amebanwa hivi na walimbwende. Mmh nafasi kama hizi wanazipata vipofu kwani hawawezi kuona goli. Ona huyu mdada mwenye jeans la blue..ni nini tena hiki? Naona ametoa zile style za "KIBATABATA" Mtumeee mtoto unaumiza watu huku! Mrembo wa kulia pale mwenye tight nyeusi kama ana kijitumbo cha lager ila hiyo wabantu hatujali kwani kama ni muda wa kura raha basi kila kitu ni RUKSA malalamiko morning. Ila tapeli wangu kweli nimekukubali...ila sasa shule umemaliza lakini? Mikasi itakumaliza hii!

Hapo Vipi?

Haya ndiyo baadhi ya mambo yanayotufanya turudi Bongo for vacation...Sasa kitu kama hichi ukiingize kinywani halafu umalizie na Kili baridi! Damn nakwambia macaroni and cheese aint got none on this. Embu cheki chachandu lile...bwana weeeh Bongo kuna menu za maana!

Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...