Tuesday, February 9, 2010

Yanga Yaivurumisha Mtibwa.

Krosi safi ya John Njoroge katika dakika ya 15 ilimfikia Boniface Ambani aliyeukwamisha mpira kimiani huku kipa Shaaban Kado asijue la kufanya, bao hilo lilidumu hadi katika dakika ya 30 baada ya Mohamed Ally wa Mtibwa kusawazisha bao hilo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

Bao la pili la Yanga lilifungwa na Steven Bengo katika dakika ya 84 na dakika sita baadaye, Geoffrey Bonny aliifungia Yanga bao la tatu kwa shuti kali nje ya 18.
Kwa matokeo hayo, Yanga imefikisha pointi 36 huku Simba yenyewe ikiwa na pointi 43 ikiwa ni tofauti ya pointi saba.

Jah Kimbute feat. Kajumulo...

Hapa kazi ilikuwepo...mwangalie Baba Chuki kulia picha na mdogo wake Baba Naima...wameacha familia zao nyumbani na sasa wanamwaga radhi tu. Namuonea huruma sana mrembo huyu kwani ni bora akae mbali na hii combination ya Chamriho ni wabaya sana kwa pasi fupi..."KURA URIWE" ndiyo style yao wadau hawa!

Mrembo wa week!

Kazi ipo...sasa jamani kama unaishi na presha kama hii nyumbani si ni bora niwe na mganga wa kujitegemea? Kwani nitakufa kwa Heart Attack mapema sana may be baada ya Honey moon. Kuna watu wameumbwa halafu kuna wale walio umbwa kwa more than normal days! Huyu naona walimuumba siku ya nane na ya tisa. (DIAGI JANGUO) Daaamn girl you are hot!

Sometimes ndoto nyingine ni Impossible kuwa kweli!

Dogo anaonekana kuanza kukata tamaa kwani nauhakika kabisa hilo guitar halitoi sauti kabisa. Huyu kilichobakia ni kuacha shule na kuanza kuvuta "NDUMU". Mdau wa kulia sijui anafanya nini kwenye photo hii. Wazungu bwana...wamewatandika picha watoto hawa kwenye banda sijui...I'm mad for real! Ila wee Ronald si ukamchukue mdogo wako mwa mwisho huyu kule Lindi basi? Usimwache kama hivi bwana...mnunulia hapa payless shoes basi na yeye aonekane ana bro kiwanja mwanawane...

Tumetoka mbali jamani...

Unaniambia niisaidie Haiti na wakati tulipotoka tu ni kama motoni! Kweli hapa unategemea mwanafunzi awe na mwandiko mzuri kweli? Mambo mengine mimi yananiumiza moyo kweli kwani nikiona hivi halafu huku ng'ambo watu wanakula "BATA" ...Ila Mungu mkubwa kwani ndiyo maneno ya watu masikini kama wakina sisi. Kila mara tukiishiwa basi tunasema "MUNGU YUPO" Hii ni shule ya msingi ambayo mdau wetu Salehe a.k.a Kanye West ndiyo alikuwa Kiranja mkuu kwa muda wa miaka miwili kabla ya nafasi hiyo haijachukuliwa na Mwesiga a.k.a Tolu!

Gari moshi Chiboko!

Mwandisi wa kujitegemea "Msukuma" mbeleni kulia akiwa anaelekea kwao Magu few weeks ago wakati alipokwenda kutembelea Bongo baada ya kupata shahada yake ya Uhandisi katika Chuo Kikuu cha Wichita State. Mdau huyu alikuwa analala kwenye Motel ya Kashozi Inn pale Magu, Mwanza. According na yeye ni kwamba alikuwa ana"share" kitanda na mtu mwingine kwani Motels wilayani hapo ni moja tu...Sasa swali langu kwake lilikuwa ni " Walikuwa wanatumia shuka moja na je walikuwa wanalala na boxers and chupi tu" Alishindwa kabisa kunipatia jibu la swali langu na alionekana kuchefukwa sana kwa swali hilo....Anyway nitamuuliza sometimes this month!

Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...