Sunday, January 17, 2010

Greenhouse Gases.


Doing his part to cut back on greenhouse gases.

Maximo Awabeza Wanaomponda

KOCHA wa Taifa Stars, Marcio Maximo amesema wadau wa soka wanaompinga wanazingatia zaidi matokeo mabaya ya timu hiyo na wala si mazuri aliyofanya.

Maximo aliliambia gazeti moja la kila siku kabla ya kuondoka nchini mwishoni mwa wiki kwa likizo ya wiki mbili nchini Brazil alisema kuwa, soka lina matokeo matatu, kushinda, kutoka sare au suluhu na kushindwa.

Alisema kuwa ukiwauliza kwa nini wanampinga, watazungumzia matokeo mabaya ya timu tu na mapenzi binafsi na wala si yale mazuri ambayo ameyafanya akiwa na timu na rekodi yake na mapenzi binafsi.

Kocha huyo ambaye anamaliza muda wake mwezi Juni mwaka huu, alisema kuwa watu wa aina hiyo ni hatari kwa maendeleo ya soka ya Tanzania kwani hawana mapenzi ya kweli.

"Wao wanataka timu ishinde tu na wala si vinginevyo, soka haipo hivyo, hata Brazil, Hispania zinashindwa, zinatoka sare na kushinda.

"Wapenzi wao wanaelewa hayo na wamekuwa wakitoa ushirikiano mkubwa na wala si kwa kuibagua timu kuzingania matokeo," alisema Maximo.

Alisema kuwa kocha kama yeye amekumbana na hayo akiwa hapa nchini, lakini wapenzi hao hao walikuwa mstari wa mbele wakati timu inaingia katika mashindano ya CHAN, kutoka sare na vigogo vya soka barani Afrika na kushinda mechi kadhaa.

"Sishangai, kwani watu hao wapo hapa Duniani na kila mtu na tabia yake, ila Taifa Stars inahitaji wapenzi wa kweli na wala si wa kubagua matokeo," alisema.

Maximo anatarajia kujiunga na timu moja nchini Israel na changamoto kubwa ni kocha gani ambaye ataendeleza Tanzania kisoka kuanzia pale Mbrazili huyo alipoishia.


Don't abuse alcohol please...

Kama ma"DJ's" wote wangekuwa wanakunywa pombe kama hivi...basi tusingekuwa na Clubs anymore. DJ Smilez a.k.a mzee wa McPherson akiwa hoi baada ya kuzichapa shots za kwenda mbele na sasa anapay back. Husiombee mdau kama huyu apass gas hapa kwani hakuna mtu wa karibu atakakuwa mzima...I'm glad he wasn't able to do that...may be he did before I showed up!

Usiku wa Sala kwa King Kupa!

Wadau na Matapeli wakiwa wanapata neno la bwana kutoka kwa mheshimiwa Richard (Hayupo pichani). Sidhani kama Six anasikiliza kwa kweli maana yupo so busy kusoma nyimbo kwenye karatasi alilokuwa nalo mkononi.


Kweli naona unakaribia mwisho wa dunia kwani mpaka mdau Salehe a.k.a Kanye West yupo serious kusikiliza neno la bwana. I like this one!Mtoto wa DJ Smilez na yeye hakuwa nyuma kupata japo neno la uzima.


Ahahaha hapa sasa kwa kweli mwana wane walinikamata nikiwa natoa rules za Football. Mdau nimeiva kweli na siyo kwamba najifagilia wewe angalia tu... Si unaona? Nilijua tu lazima ukubaliane na mimi. Thanks!


Daamn! "On my mama...I look good...I look fly" Tapeli Mgimwa sijui tatizo ni nini kwani naona "kipepsi" chake kimepauka hivi. I think is cause of cheap lotion or some...

Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...