Sunday, January 10, 2010

Akiondoka Torres ....haki ya nani ntaondoka!

Rafael Benitez akijaribu kufanya mipango
Meneja wa timu ya Liverpool, Rafael Benitez ameweka wazi kuwa atakuwa tayari kuondoka pale Anfield ikiwa kama nyota wake mshambuliaji Fernando Torres atauzwa bila ya idhini yake.

Haya yanafuatia hali ya kiuchumi katika klabu hiyo ambayo wengi sasa wanadhani kuwa wamiliki wa klabu hiyo Tom Hicks na George Gillett watashawishika kumuuza mshambuliaji huyo ikiwa kama ofa kubwa itakuja.

Hata hivyo kwa upande wake Benitez anadai kuwa kwa mamlaka yake mshambuliaji huyo hatouzwa kwa gharama yoyote, na kama ikitokea hivyo, basi yupo tayari kujiuzulu.

Katika msimu uliopita Liverpool ilitumia kiasi cha paundi za Uingereza milioni £20, kumleta Anfield, Alberto Aquilani jambo ambalo linaonekana kuwa ni matumizi makubwa, na Benitez anasema kwa jinsi hali ilivyo kiuchumi, hawezi kushindana na timu kama Manchester United na Chelsea katika kipindi cha usajili.

Akitete usajili wake, Benitez anasema "pale walipolazimika kutumia fedha, basi usajili wao umekuwa na mafanikio na akatoa mfano wa usajili wa Torres, Javier Mascherano, Pepe Reina na Xabi Alonso.

Kwa usajili wa Robbie Keane, mhispania anasema huyo ni mshambuliaji mzuri,ila walilazimika kumuuza kutokana na kushindwa kuwaridhisha na kiwango walichokitarajia.
Ryan Babel, kwa huyu anasema alisajiliwa kwa mipango ya baadae na sasa bado wanaendelea kumshinikiza akaze msuli ili apate nafasi katika kikosi cha kwanza.

Kwa sasa Liverpool bado inasuasua katika ligi kuu ya England ikiwa imesimama katika nafasi ya saba kwenye msimamo wa ligi, baada ya kupoteza michezo mitano katika ligi hiyo msimu huu.
Najua wapenzi wana wasiwasi..anasema Benitez lakini amewataka wawe na subra kwani timu itakuwa sawa na matokeo yatawaridhisha.

No comments:

Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...