
Unaniambia niisaidie Haiti na wakati tulipotoka tu ni kama motoni! Kweli hapa unategemea mwanafunzi awe na mwandiko mzuri kweli? Mambo mengine mimi yananiumiza moyo kweli kwani nikiona hivi halafu huku ng'ambo watu wanakula "BATA" ...Ila Mungu mkubwa kwani ndiyo maneno ya watu masikini kama wakina sisi. Kila mara tukiishiwa basi tunasema "MUNGU YUPO" Hii ni shule ya msingi ambayo mdau wetu Salehe a.k.a Kanye West ndiyo alikuwa Kiranja mkuu kwa muda wa miaka miwili kabla ya nafasi hiyo haijachukuliwa na Mwesiga a.k.a Tolu!
No comments:
Post a Comment