
The boy is Hot jamani...you've got to see him to believe. Twendeni tukampe kijana wetu mkono kwani wanaanza hivi hivi hawa then tomorrow wanakuja kuwa kwenye map! We need to support our little bro all the way from East Africa to Wichita, Kansas. He's the best R&B singer from East and Central Africa so far na kama unabisha basi wewe google hii statement kwani kuna wadau kibao wanaoujua mziki wamempa hiyo rank. Kwa sasa mdau huyu yupo kwenye mazoezi makubwa sana kwaajili ya Tour hii...na kuna tetesi ambazo nimezipata ni kwamba kijana huyu anakuja na single kwenye Video ambayo itakuwa "FILMED" by MTV wenyewe yes I said MTV. Stanboi...boy you've got what it takes to be the best R&B you already know that so be humble and lets do this for the fans!