
Kazi ipo...sasa jamani kama unaishi na presha kama hii nyumbani si ni bora niwe na mganga wa kujitegemea? Kwani nitakufa kwa Heart Attack mapema sana may be baada ya Honey moon. Kuna watu wameumbwa halafu kuna wale walio umbwa kwa more than normal days! Huyu naona walimuumba siku ya nane na ya tisa. (DIAGI JANGUO) Daaamn girl you are hot!
No comments:
Post a Comment