
Mwandisi wa kujitegemea "Msukuma" mbeleni kulia akiwa anaelekea kwao Magu few weeks ago wakati alipokwenda kutembelea Bongo baada ya kupata shahada yake ya Uhandisi katika Chuo Kikuu cha Wichita State. Mdau huyu alikuwa analala kwenye Motel ya Kashozi Inn pale Magu, Mwanza. According na yeye ni kwamba alikuwa ana"share" kitanda na mtu mwingine kwani Motels wilayani hapo ni moja tu...Sasa swali langu kwake lilikuwa ni " Walikuwa wanatumia shuka moja na je walikuwa wanalala na boxers and chupi tu" Alishindwa kabisa kunipatia jibu la swali langu na alionekana kuchefukwa sana kwa swali hilo....Anyway nitamuuliza sometimes this month!
No comments:
Post a Comment