
Angekuwa kiwanja huyu...basi hasingeliona jua for a very long time kwani so far nimeshaziona kama tickets 32 na zote ni lazima kwenda kumuona jaji. Mmmh...Bongo kweli hakuna safety kabisaaaa. Hata kama hii style wanaiita "mshkaki" ila hapa nadhani wanatakiwa kuuita pilau kwani kila kitu kimewekwa ndani na haina haja ya mboga wala nini! Sijui hawa watoto ni wake au la hasha! Let me leave him alone kwani kila mtu anajikuna kwa urefu wa mkono wake mwanawane...