
Dogo anaonekana kuanza kukata tamaa kwani nauhakika kabisa hilo guitar halitoi sauti kabisa. Huyu kilichobakia ni kuacha shule na kuanza kuvuta "NDUMU". Mdau wa kulia sijui anafanya nini kwenye photo hii. Wazungu bwana...wamewatandika picha watoto hawa kwenye banda sijui...I'm mad for real! Ila wee Ronald si ukamchukue mdogo wako mwa mwisho huyu kule Lindi basi? Usimwache kama hivi bwana...mnunulia hapa payless shoes basi na yeye aonekane ana bro kiwanja mwanawane...
No comments:
Post a Comment