
Karatasi hili...limemuacha mdau anapiga double ya kubeba wazee kazini halafu yeye kawaita marafiki wake na kwenda kujimwaga kwenye starehe. Hapa bwana lazima ukubali matokeo kwani navyowajua wabantu mimi...hili karatasi halina muda mrefu litakushinda tu. Ila nachowashukuru Wabongo wenzangu ni kwamba, wengi wao ni wavumilivu kweli kwani ndiyo hali halisi ya kupata kibanda cha karatasi...au wewe Martin unaniambiaje?
No comments:
Post a Comment