
Daah....ndiyo maana Bongo UKIMWI umezagaa sasa kweli jamani unataka kuniambia umezichapa lager za maana na umepitiwa mbele na jimama kama hili, then likaomba lift na kutaka umsaidie kumlipia chakula...kweli mwanawane unataka kuniambia utakataa ofa ya kwenda kumaliza kiu? Acha habari yako wewe... Maisha mafupi bwana kama ukipata ngoma ni kama kupinduka kwenye Bajaj tu.
No comments:
Post a Comment