
Huyu naye kinamchekesha nini sasa jamani? Huwezi kunywa hiyo bia ya watulivu na kuanza kumwaga lazi kama hizi bwana! Nadhani alichukua hicho kinywaji kwa mdau wa nyuma pale ili apige nacho picha. By looking at this photo, unashtukia kabisa kuwa mdau huyu alikuja na VISA ya visiting. I don't wanna write much kwani wanaweza kuni"sue" bure. Mwanamke wig bwana!
No comments:
Post a Comment