
Dada kaona hapa kilaji mdau kakichapa lazima aende nyumbani na mimi kwani, yasije yakawa mambo ya "Blame it on the a-a-a-a-a alcohol". Angalia shati ilivyovyutwa yaani kweli hii ni braah! Kuna njemba upande wa kushoto pale akiwa ana vazi la Jersey za Walmart, nadhani alikuwa anazomea floor yule. Lager za bure hizi zinarudigi mida mibaya sana mwanawane!
No comments:
Post a Comment