
Mdada wa Kibongo Aika...mama weeeh! Mambo ya Kinondoni haya bwana yaani ni braaah. Leo toto hili la Kichagga limeibuka kuwa mshindi wa mrembo wa week baada ya kujizolea kura nyingi mno kutoka kwenye jopu la majaji wa blog hii. Hongera zako Aika na Mungu akujalie uishi miaka mingine miwili kabla ya kwenda peponi. Amen!
No comments:
Post a Comment