
Mmmmh! Lazima ulale njaa hapa! Walimbwende wamejitengeneza vibaya sana. Kweli Wachina wanasaidia Bongo kwani brands za kufa mtu zinashuka tu. Dada wa kushoto yaani ukiamua kutumia mgongo wako, basi nakwambia utaanza kukutana na akina sisi. Hivi kweli hapa nimekula Vodka ya maana unaniambia nitapokea simu ya mama watoto kweli? Tena kama ni karatasi basi wacha lipeperuke tu, kwani "Kungu unapopoa kwa Kota na siyo Jiwe"
No comments:
Post a Comment