
Bongo kuendeleza fani ni kazi kwani matapeli wengi sana. Vijana walikuwa on fire kipindi kile cha kale ila baada ya kuwika bila mafanikio sasa sijui wamejichimbia wapi. Baadhi yao sasa hivi wapo hapa kwa baba Obama wanakula BATA as always. Mdau wa nyuma amekamata weusi kwa kwenda mbele, jua la bongo noma ila kwa sasa msela huyu yupo USa upande wa Mashariki kule karibia na Madson Square kaiva hivi....anaonekana kama " POINT FIVE"
No comments:
Post a Comment