
Sasa picha kama hii jamani inamaanisha nini? Hizi picha huwaga naziona kwenye website za watu wazima tu na sasa naona zimeanza kuingia bongo.(BONGO KUNANI) Dada umependeza mwayego kwani huo ni mkanda sijui au ni chachandu za kisasa.... yenye rangi nyekundu, imepita mahala pazuri kweli...muwashowasho huo...Umeona hiyo wewe Pierre "Kabumbu"?
No comments:
Post a Comment