
Hakuna kosa ambalo mwanafunzi wa shule ya msingi anatakiwa kuadhibiwa kama hivi bwana. Hapa unaweza kusema kuwa mwanafunzi atajifunza kweli kutokana adhabu kama hizi? Mwangalie huyu wa nyuma kwani hata shoes hana amejitahidi kweli kuja kufuta ujinga but mwalimu bado haoni hilo na kuendelea kumhadhibu...Mimi roho inaniuma kweli nikiona mambo kama haya hasa hasa yanatokea kwenye nchi za joto kama zetu kwani hapa hakanyanyuka huyu mtoto jasho mwili mzima na hewa nzito ya kumfanya mtu awe bubu for a while!
No comments:
Post a Comment