
Bwana weee...hapa kwa kweli ni kama ahera kwani mdau amebanwa hivi na walimbwende. Mmh nafasi kama hizi wanazipata vipofu kwani hawawezi kuona goli. Ona huyu mdada mwenye jeans la blue..ni nini tena hiki? Naona ametoa zile style za "KIBATABATA" Mtumeee mtoto unaumiza watu huku! Mrembo wa kulia pale mwenye tight nyeusi kama ana kijitumbo cha lager ila hiyo wabantu hatujali kwani kama ni muda wa kura raha basi kila kitu ni RUKSA malalamiko morning. Ila tapeli wangu kweli nimekukubali...ila sasa shule umemaliza lakini? Mikasi itakumaliza hii!
No comments:
Post a Comment