
Haya ndiyo baadhi ya mambo yanayotufanya turudi Bongo for vacation...Sasa kitu kama hichi ukiingize kinywani halafu umalizie na Kili baridi! Damn nakwambia macaroni and cheese aint got none on this. Embu cheki chachandu lile...bwana weeeh Bongo kuna menu za maana!
No comments:
Post a Comment