Monday, January 18, 2010

Mchezaji Mweusi wa Marekani Abadili Rangi ya Ngozi Yake.


Mmarekani mweusi Sammy Sosa ambaye aliwika sana enzi zake kwenye mchezo wa Baseball amebadili rangi ya ngozi yake kutoka nyeusi kuwa nyeupe kama mzungu. Mchezaji maarufu wa zamani wa Baseball, Sammy Sosa mwenye umri wa miaka 41 amejibadilisha rangi ya ngozi yake kuwa mweupe kama mzungu kwa kutumia krimu za kujichubua.

Sosa alianza kujichubua kuanzia mwaka 2007 na wiki iliyopita alionekana kwenye tuzo za Latin Grammy jijini Las Vegas akiwa hana tena rangi yake nyeusi ya kuonyesha asili yake ya Afrika.

Sosa alionekana mweupe kama mzungu na kwa watu ambao hawamfahamu ni vigumu kuamini alikuwa mweusi 'tii' zamani.

Sosa amesema kuwa nia yake kubadili rangi ya ngozi yake ni kutokana na mapenzi yake mwenyewe na si kumuiga marehemu mfalme wa muziki wa Pop, Michael Jackson.

Sosa amekiri pia kubadilika kwa rangi hakutokani na maradhi yoyote ya ngozi bali ni kutokana na krimu anayoitumia ambayo alisema ataipigia kampeni za kibiashara.

Hivi karibuni idadi ya watu weusi wanaojichubua nchini Marekani ili wakubalike katika soko la wazungu imezidi kuongezeka na wataalamu wa ngozi wanaonya kuwa matumizi ya krimu kujichubua ni hatari kwa afya.

Magonjwa mengi ya ngozi kama vile kansa ya ngozi yamekuwa yakihusishwa na madawa na krimu za kujichubua.


Simba, Yanga Hazikamatiki Ligi Kuu Bara.


SIMBA na Yanga zote za Dar es Salaam zimeendelea kung’ara katika Ligi Kuu ya Tanzanai Bara baada ya kushinda michezo yake ya wikiendi. Yanga ndiyo iliyokuwa ya kwanza kujiongezea pointi tatu baada ya kuifunga African Lyon kwa mabao 2-0, kwenye mchezo wa kwanza wa raundi ya pili ya ligi hiyo.

Mabao ya Yanga katika mchezo huo, yalifungwa na Jerry Tegete katika dakika ya 36. Tegete alifunga akiunga kona iliyochongwa na Abdi Kasim.

Huku mashabiki wakidhani mchezo huo ungemalizika kwa Yanga kutoka na ushindi wa bao 1-0, Idd Mbaga alitoa pasi safi kwa Mrisho Ngassa aliyemchambua kipa Ivo Mapunda wa Lyon na kuiandikia timu yake bao la pili na kuifanya Yanga kufikisha pointi 24.

Katika mchezo wa jana, Simba imeifunga Majimaji ya Songea mabao 2-0 huku mshambuliaji wake Mussa Mgosi akifunga mabao mawili na kuwa nyota wa mchezo.

Simba sasa inaongoza ligi hiyo kwa kuwa na pointi 36 baada ya kucheza mechi 12 na kushinda zote.

Sunday, January 17, 2010

Greenhouse Gases.


Doing his part to cut back on greenhouse gases.

Maximo Awabeza Wanaomponda

KOCHA wa Taifa Stars, Marcio Maximo amesema wadau wa soka wanaompinga wanazingatia zaidi matokeo mabaya ya timu hiyo na wala si mazuri aliyofanya.

Maximo aliliambia gazeti moja la kila siku kabla ya kuondoka nchini mwishoni mwa wiki kwa likizo ya wiki mbili nchini Brazil alisema kuwa, soka lina matokeo matatu, kushinda, kutoka sare au suluhu na kushindwa.

Alisema kuwa ukiwauliza kwa nini wanampinga, watazungumzia matokeo mabaya ya timu tu na mapenzi binafsi na wala si yale mazuri ambayo ameyafanya akiwa na timu na rekodi yake na mapenzi binafsi.

Kocha huyo ambaye anamaliza muda wake mwezi Juni mwaka huu, alisema kuwa watu wa aina hiyo ni hatari kwa maendeleo ya soka ya Tanzania kwani hawana mapenzi ya kweli.

"Wao wanataka timu ishinde tu na wala si vinginevyo, soka haipo hivyo, hata Brazil, Hispania zinashindwa, zinatoka sare na kushinda.

"Wapenzi wao wanaelewa hayo na wamekuwa wakitoa ushirikiano mkubwa na wala si kwa kuibagua timu kuzingania matokeo," alisema Maximo.

Alisema kuwa kocha kama yeye amekumbana na hayo akiwa hapa nchini, lakini wapenzi hao hao walikuwa mstari wa mbele wakati timu inaingia katika mashindano ya CHAN, kutoka sare na vigogo vya soka barani Afrika na kushinda mechi kadhaa.

"Sishangai, kwani watu hao wapo hapa Duniani na kila mtu na tabia yake, ila Taifa Stars inahitaji wapenzi wa kweli na wala si wa kubagua matokeo," alisema.

Maximo anatarajia kujiunga na timu moja nchini Israel na changamoto kubwa ni kocha gani ambaye ataendeleza Tanzania kisoka kuanzia pale Mbrazili huyo alipoishia.


Don't abuse alcohol please...

Kama ma"DJ's" wote wangekuwa wanakunywa pombe kama hivi...basi tusingekuwa na Clubs anymore. DJ Smilez a.k.a mzee wa McPherson akiwa hoi baada ya kuzichapa shots za kwenda mbele na sasa anapay back. Husiombee mdau kama huyu apass gas hapa kwani hakuna mtu wa karibu atakakuwa mzima...I'm glad he wasn't able to do that...may be he did before I showed up!

Usiku wa Sala kwa King Kupa!

Wadau na Matapeli wakiwa wanapata neno la bwana kutoka kwa mheshimiwa Richard (Hayupo pichani). Sidhani kama Six anasikiliza kwa kweli maana yupo so busy kusoma nyimbo kwenye karatasi alilokuwa nalo mkononi.


Kweli naona unakaribia mwisho wa dunia kwani mpaka mdau Salehe a.k.a Kanye West yupo serious kusikiliza neno la bwana. I like this one!Mtoto wa DJ Smilez na yeye hakuwa nyuma kupata japo neno la uzima.


Ahahaha hapa sasa kwa kweli mwana wane walinikamata nikiwa natoa rules za Football. Mdau nimeiva kweli na siyo kwamba najifagilia wewe angalia tu... Si unaona? Nilijua tu lazima ukubaliane na mimi. Thanks!


Daamn! "On my mama...I look good...I look fly" Tapeli Mgimwa sijui tatizo ni nini kwani naona "kipepsi" chake kimepauka hivi. I think is cause of cheap lotion or some...

Saturday, January 16, 2010

Is happening tonight!

Ndugu yetu Eugine Makupa a.k.a King Kupa anawataarifu ndugu, jamaa na marafiki wake kwamba atakuwa na maombi mafupi nyumbani kwake leo saa mbili usiku. Angependa sana kama wewe na mimi tungeweza kujumuika naye ili kuweza kumwombea mama yake mzazi Mrs. Bernadine Makupa aliyefariki dunia Jumatatu ya tarehe 8 huko Kilimanjaro, Tanzania.

Kama ilivyo kawaida yetu, basi kama unachochote kile si vibaya kukileta siku hii ya leo. Kwa habari kamili kuhusu maombi haya, unaweza kuzipata kwa kuwasiliana na mdau Solomon a.k.a DJ Smilez kwa namba ya simu ya mkononi...316 347 9773. Tunatanguliza shukrani zetu zote za dhati kwa wewe uliyesoma message hii. Please let some else know about this. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi...Amen.

Republic of Zimbabwe (GDP – per capita: $500)

“The expression on these guys faces says a million things, weak from hunger and too poor to own shoes or have a shirt to wear. This is all because of the tyrant they call a president.

A beautiful country ruined because of one mans greed. ” Mr Sean

Republic of Zimbabwe is located between the Limpopo and Zambezi rivers in the south of Africa. Its economy suffers a slowdown due to supply shortage, soaring inflation and foreign exchange shortage. Zimbabwe’s involvement in the Democratic Republic of the Congo left its economy fragile. The worst consequence of the knelt-down economy is unemployment that is as high as 80%.

“March, 5, 2008. The Zimbabwean currency tumbled to a record 25 million dollars for a single US dollar”

Osama Bin Laden Alivyo Sasa!

Pinda atangaza mali zake...

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda ametangaza mali zake alizonazo anazozimiliki mbele ya vyombo vya habari ofisini kwake jana.
Pinda alitangaza mali hizo zikiwemo na shilingi milioni 25 kwenye akaunti yake, nyumba tatu za kawaida moja ikiwa jijini Dar es Salaam, Mpanda na Dodoma na gari moja alilolinunua kwa mkopo.

Waziri Pinda aliamua kufanya hivyo ili kuweka bayana mali zake na kuonyesha mfano kwa viongozi wote nchini kufata kwa kuwa viongozi walitakiwa kuweka bayana mali zao ili kutekeleza sheria ya maadili ya uongozi.

"Hizo ndizo mali zangu nilizo nazo ndugu" alisema mbunge huyo wa Mpanda wakati akitangaza mali zake

Waziri mkuu aliyetambulika kwa jina la mtoto wa mkulima alitaja mali zake hizo na kusema haelewi yeye kwake utajiri ni nini na kusema mali hizo kwake anajiona ni tayari zimeshamtosheleza na wakati akianza kutaja mali zake hizo wka kujielezea mbele za wahariri alianza kwa kusema

"Nina nyumba Dodoma kutokana na utaratibu wa mikopo ya nyumba za serikali; nina nyumba Mpanda ambayo imepatikana kwa mpango wa kawaida tu, imetokana na visenti kidogo nikanunua pale ambapo bahati nzuri gharama za ujenzi hazikuwa kubwa sana, nikakikarabati kipo pale kipo Makanyagio pale."

"Haya! Ukitoka pale unataka niseme nini tena. Dar es Salaam sina nyumba ya kusema ya maana sana ukienda shambani Pugu kule kipo kinyumba kidogo hivyo inahitajika kazi ya ziada kuweza kufanya paonekane pa maana.

"Kijijini kwa baba yangu pale Kibaoni sina nyumba; pale mlipoona nimekaa na bibi tunapiga porojo, kile kijumba mimi na wadogo zangu tulimsaidia babu kwa ajili ya kumjengea babu yetu na pale ndipo nilipokuwa nafikia siku zote wakati wa likizo."

Pinda, ambaye amekuwa mbunge tangu mwaka 2000, alisema miaka yote alikuwa akifikia kwenye nyumba hiyo ambayo yeye ana chumba chake kimoja hali kadhalika babu yake.

Alisema baada ya kuteuliwa kuwa waziri mkuu, alijikuta kwenye wakati mgumu sana kwa kuwa alitaka kuendelea kufikia kwenye nyumba hiyo, lakini watu wa usalama walimkataza.

"Baada ya hii maneno inayoitwa uwaziri mkuu, nilipoteuliwa nikataka nifikie pale katika ile nyumba, lakini nikaambiwa hapana; haiwezekani; hapafai; huwezi kufikia pale,"alisema.
Alisema hilo ndilo lilikuwa tatizo lake la kwanza kwa hiyo anajaribu kujenga tena kitu ambacho na yeye atapata mahala pa kufikia pamoja na wasaidizi wake kwenye eneo hilo.

"Nimegundua tatizo ni hawa wakubwa. Pale kijijini kwetu hakuna nyumba za wageni hatuna chochote mi nilidhani nikienda kule nikiachwa kwa babu na bibi, wao wataenda huko umbali wa kilomita wakatafute pa kupumzika, lakini wakasema no! no! no! haiwezekani, nikawaelewa," alisema.

Alisema ukiondoa nyumba hiyo, vitu vya maana zaidi hana labda gari la mkopo na ni gari la mbunge.
Pinda aliendelea kuwaambia wahariri kuwa

"Hivi ukifika hivi unahitaji nini cha zaidi tena? Kwa hiyo kipato kidogo unachokipata unaweza kukitumia kwa ajili ya huduma za watoto wako kusoma na kadhalika kwa sababu ni vitu viko nje ya taratibu za serikali. Kwa hiyo huwa najiona tu kwamba na mimi nina bahati tu kwamba Mungu alinifikisha hapa nilipofika na kunifikisha katika nafasi hii imenipa ahueni," alisema.

Alisema kama masuala hayo muhimu yanatimia, wajibu wake ni kujaribu kulipa fadhila kwa Watanzania kwa kufanya kila atakaloweza kuwatumikia vizuri zaidi.

"Kwa hiyo mimi nina hakika zaidi kuwa kwa nafasi kama niliyo nayo, naweza kuishi bila tamaa ya mambo mengine zaidi... mimi hata hisa sina, sijanunua hisa mahali popote, lakini huko tunakokwenda naweza nikatamani nikatafuta hata hisa hivi, kwa ajili labda ya sababu fulani fulani," alisema.



I WANNA HEAR FROM YOU!

Juu ya fish tank kuna lotion, kwa kweli bado sijajua inafanya nini pale. Naomba sana wafurukutwa mnisaidie kama mna any comments. Na kwa data ambazo zipo mtaani ni kwamba ile lotion inapungua every other day. Please my sisters and brothers nisaidieni hapo bwana.... Kunani pale?!

SIRI IMEFICHUKA!

Sasa tumegundua ni nini hasa kinamfanya mdau huyu wa kushoto hapa katika picha kunawiri na kujinenepea kama akina mimi, Ni chupa za Kijani. Yaani mdau ni mzima kwenye hiyo sekta. Kushoto ni tapeli Ngassa D akiwa anajitahidi kutosinzia kabisa kwani ilikuwa ni usiku wa kiza kinene. Be careful ukimwona mdau huyu wa kulia kwani huwaga na plans za faster sana na ukizubaa utajikuta huna wa kumlaumu.

Look at this man!

Huyu kijana wa kulia kabisa ni Salehe a.k.a Kanye West yaani ametulia kabisa kusubira photo. Watu kama hawa ni wazushi tu kwani anaonekana kama vile hana mpango na issues ambazo viongozi wanaziongelea pale. Ila kwa mujibu wa watu walio karibu na Salehe ni kwamba kwa sasa anamalizia single yake mpya ya "I'm from Kisarawe" ambayo atamshirikia Ali Kiba katika kiitikio... Kila la Heri mheshimiwa.

Wasiovuma lakini wamo...

Mdau anaonekana anafuraha sana yaani. Kweli mwaka 2010 si mbaya kwake kwani unaona meno ya mbwa yote nje na kujitanua kwa kwenda mbele...Hii ni safi sana. Kwa data ambazo tunazo kwenye ofisi zetu ni kwamba mdau huyu kwa sasa ana plans za kwenda nyumbani Bongo na kugombea kiti cha Ubunge wa Kilwa. Tutapost more updates kwa jinsi tunavyozipata.

Thursday, January 14, 2010

This isn't funny!

Huyu mdau wa kushoto ni Issaya a.k.a Jah Kimbute Jr au baba Naima, na kwa upande wa kulia ni King Kupaz akitoa data ambazo si za msingi kwani hazina proof yeyote ile. Kinachonishangaza mimi ni kwamba huyu tapeli Kupaz bwana ana fish tank kubwa tu lakini hata maji halina sasa sijui alilinunua au alipewa bure, I have to ask him this time I can't keep on getting myself confused.

Pierre Muniz...

Mambo ya kumuwakilisha Tony Montana. Mdau wala hajaiva hivi sema camera za bei mbaya bwana zinafanya kila mtu aonekane kama half white half black. Itabidi sasa nianze kutumia camera cheap.

DC where are you at?

Kijana amegundulika kuwa anatumia pesa kununua nanii... Anyway let leave that topic alone. Do you have $100? Ha ha ha....

Best Thing To Remember...

Wednesday, January 13, 2010

Mama yake na Eugine Makupa amefariki dunia...

Mdau na tapeli wa kujitegemea wa hapa Wichita, Kansas... Eugine Makupa amefiwa na mama yake mzazi. Jamani wabongo tunaomba tumtembelee mdau wetu huyu King Kupa pichani kulia akiwa anafarijiwa na mwanamziki maarufu wa miondoko ya taarab Stanboi the Africanchild.
For more details about Eugine's msiba please call this number...316 299 3331.
Thanks!

Maankuli...

The Africanchild ni mtaalam wa mapishi vile vile kwahiyo kama akiwa na afterparty kwake remember that. Hapa kijana alikuwa bado anaweka mambo safi kwenye jiko kwa tapeli mwenzake Eugine Makupa ambaye amefiwa na mama yake mzazi.

Ndiyo maana vijana wamezaa....

Naona tapeli mkongwe Ngassa D akiwa anafanya mchanganyo wa kemikali za kilevi hapa huku mdau George na Meneja msaidizi wake DJ Dula wakiwa wanasubiria results. Kwa wabongo wengi hawajui kuwa DJ Dula a.k.a Puchi's brother uwa hanywi pombe kabisa kwani yeye ni mtu wa kijiti tu.

Wazushi Hawa!

DJ Smiles akiwa na DJ Dula, wadau hawa walimshusha samaki kwa kwenda mbele. Huwezi kuona vizuri hapa ila DJ Dula alikuwa na kichwa cha samaki kwenye mkono wake wa kushoto...

Sunday, January 10, 2010

Akiondoka Torres ....haki ya nani ntaondoka!

Rafael Benitez akijaribu kufanya mipango
Meneja wa timu ya Liverpool, Rafael Benitez ameweka wazi kuwa atakuwa tayari kuondoka pale Anfield ikiwa kama nyota wake mshambuliaji Fernando Torres atauzwa bila ya idhini yake.

Haya yanafuatia hali ya kiuchumi katika klabu hiyo ambayo wengi sasa wanadhani kuwa wamiliki wa klabu hiyo Tom Hicks na George Gillett watashawishika kumuuza mshambuliaji huyo ikiwa kama ofa kubwa itakuja.

Hata hivyo kwa upande wake Benitez anadai kuwa kwa mamlaka yake mshambuliaji huyo hatouzwa kwa gharama yoyote, na kama ikitokea hivyo, basi yupo tayari kujiuzulu.

Katika msimu uliopita Liverpool ilitumia kiasi cha paundi za Uingereza milioni £20, kumleta Anfield, Alberto Aquilani jambo ambalo linaonekana kuwa ni matumizi makubwa, na Benitez anasema kwa jinsi hali ilivyo kiuchumi, hawezi kushindana na timu kama Manchester United na Chelsea katika kipindi cha usajili.

Akitete usajili wake, Benitez anasema "pale walipolazimika kutumia fedha, basi usajili wao umekuwa na mafanikio na akatoa mfano wa usajili wa Torres, Javier Mascherano, Pepe Reina na Xabi Alonso.

Kwa usajili wa Robbie Keane, mhispania anasema huyo ni mshambuliaji mzuri,ila walilazimika kumuuza kutokana na kushindwa kuwaridhisha na kiwango walichokitarajia.
Ryan Babel, kwa huyu anasema alisajiliwa kwa mipango ya baadae na sasa bado wanaendelea kumshinikiza akaze msuli ili apate nafasi katika kikosi cha kwanza.

Kwa sasa Liverpool bado inasuasua katika ligi kuu ya England ikiwa imesimama katika nafasi ya saba kwenye msimamo wa ligi, baada ya kupoteza michezo mitano katika ligi hiyo msimu huu.
Najua wapenzi wana wasiwasi..anasema Benitez lakini amewataka wawe na subra kwani timu itakuwa sawa na matokeo yatawaridhisha.

Kocha Wa Ivory Coast Aipigia Mahesabu Taifa Stars

KOCHA wa timu ya taifa ya Ivory Coast, 'The Elephants' Vahid Halilhodzic amesema yupo kuifundisha Taifa Stars mara baada ya kuisha kwa mkataba wa Marcio Maximo iwapo Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), litamuhitaji.

West Africans are inside Academia House representin'.

Jamaa wanakula Bondo never seen before kwani kulikuwa na ugali wa kufa mtu lakini ulikwisha in seconds. Huu ulikuwa ni usiku mnene wenye baridi kwa kwenda mbele mwanawane. Huu mkono wa kushoto wa Stanboi sijui unafanya nini hapo ila so far so good!

YES IT'S ME!

Poborsky yupo bomba mbaya na bado anapeleka shots... Kweli msela wangu ni legendary I like that. I don't have a clue hii ni sign ya nini but I'm sure it looks really good on this photo... No comments please or I'll sue you.

Kitu na Box hapa!

Halafu mseme kwamba King Kupa hanenepi...si unamuona kijana anavyopendeza hapa jamani. Sahani inaonekana ni ya moto katika hii photo na mdau hayupo tayari kuwa patience kabisa na kusubiri. Ila it's all good mwanawane!

Chuzi limekubali mambo yee mambo waa...

Mwili haujengwi kwa vyakula vya makopo wewe...Na ni nani alikwambia kwamba wanawake wanajua kupika kuliko wanaume? Google then utagundua kwamba wanaume wakikaa jikoni wanatoa kitu delicious acha kabisa yaani. Check mdau tapeli huyu akiwa anabwia kama kalipia sahani vile.

Mambo ya kujipendelea haya bwana...

Hapa ni baada ya mdudu kufika jikoni kwangu kabla hatujaanza maankuli na masela wangu. Bwana eeh kupata mdudu mkubwa kama huyu na bado ana damu zake ni mambo ya kuwa na password kubwa bwana, na ni wachache sana tuliyo nayo hiyo... Holla at your boy kama unataka details.

Friday, January 8, 2010

Breaking News...

Hii ndiyo Bar inayosemakana kwamba Mdau Andrew Mkinga alionekana mara ya mwisho akiwa amezimika vibaya sana. Hadi kwa sasa hakuna anayejua ni nini kimemtokea kijana wetu so far. Ila kwa habari ambazo bado hatujazihakiki inasemekana kwamba ameonekana kwenye msafara wa hawa jamaa chini hapa.... Sasa sijui ilikuwaje mpaka akaishia kwenye huu msafara...

Kama ukiangalia vizuri kwa nyuma basi utamuona Mdau Andrew akiwa na top nyeupe na wig kichwani....Bado tunaendelea kumtafuta on air tujue alikuwa anafanya nini kwenye huu msafara katika mitaa ya Kinondoni karibia na Msese Road.

Huyu ni DJ Smiles...

This is the only photo nadhani jamani hana Vodka on the side. I think ndiyo alikuwa amefika mitamboni na lazima songs zilikuwa bored kinoma kwani he can't DJ without it. Oooh may be iko on the other side of the table. Any comment on this?

Pipi...move out of the way!

Thabeet...fuck the fame just kamata mshiko mwanawane kwani hiyo ni train na wewe bado una muda wa kumwaga wa kuzichanga mwache apite. Ila kama unahitaji mshauri wa entrepreneurship basi let me know kwani ni major yangu hiyo mpwa...tehe tehe tehe!

Don't do two jobs...

Kama unatafuta karatasi basi mambo haya ni kawaida sana kwani utaambiwa jamaa ni cousin na mambo kama hayo kumbe anakula kilicho chako wakati wewe unapiga hours. Ila wazo la haraka haraka tu ni kwamba husifanye kazi mbili kama unampenda mke wako kwani kuna watu watatumia muda wa kazi yako ya pili kumridhisha mkeo na hii kweli inatokea all the time. Believe or not lakini kama na wewe unafanya kazi mbili basi kuna mme mwenza. Hii ni kama Law kwani haibadiliki no matter who you think you are...so quit the second job or too much overtime before hujalea mtoto ambaye si wako mwayego.

USA tamu bwana...

Ona mambo haya...msanii wetu maarufu sana Stanboi " The Africanchild" akiwa amesahau kilichomleta Marekani na kuanza kula raha kwa kwenda mbele... I like the position of tha jeans.

Bwana weee....Kweli hapa ilikuwa inapigwa Bolingo kwani hii position inanikumbusha kipindi cha Clouds FM na DJ Charles mambo ya African Bambataa if you know what I mean though. Hivi unazania kuna kurudi kujenga taifa letu la Tanzania hapa kwa kweli? I doubt...

Bia Bia...

Tapeli Andrew a.k.a MD hawezi kukaa kimya yaani. He always has something to say even if no one listens. Mambo ya usiku mnene hapa bwana naona team zima la Academia lilikuwepo on the spot. I love this country mambo haya ndiyo yanafanya baadhi yetu tushindwe kwenda shule au kukumbuka nyumbani. Is this guy on the left Poppa? Damn kweli tunda limemkubali mpwa wangu.

Kamba tupu hizi...

Vijana wanaonekana kama ni magangster kumbe ukiwasachi hata kiwembe hawana. Ona huyu tapeli wa kulia a.k.a Poborsky akitupa sign kama anajua hata kurusha teke kwa habari za ndani ni kwamba kijana huyu anakuja na single yake akimshirikisha Webbie for more details just keep on login on this blog. Shemeji yake "Mwanawane Masanja" a.k.a Brian anategemea mtoto anytime soon. Kila la heri mpwa kwa kuweza kukick field goal in the year 2010!

Bwii la kufa mtu...

Wadau hawa bwana wanampango wa kuingia Bongo na kwenda kuwaliza Magabachori. Nilikuwa nao last weekend wakiwa wananipa plans zao za ni jinsi gani watakavyofanikiwa basi nikaona kwa kweli wanawazo la msingi sana. King kupa (Kushoto kabisa) na Mwanawane Masanja (Katikati) walimsajili msanii Stanboi "The Africanchild" (Kulia) baada ya kupass kwa asilimia kubwa sana kwenye nafasi yao moja iliyokuwa imebakia kwenye hiyo crew yao. Kila la heri vijana wangu ila mkienda Bongo mnao uwezo wa kurudi? Hilo ndilo swali langu la leo!

Mambo ya kawaida jamani...

Kama unaona kuwa kuna kitu kinakufurahisha humu kwenye blog yangu basi hakuna noma kama ukiniangushia sifa mwanangu mwenyewe.....
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!

9 Things I Hate About Everyone

1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2
 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually. 

3
 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it? 

4
 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they?   cause I amGonna Kick their asses! 

5
 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor. 

6
 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine? 


7.
 When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.

8
 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?




9
 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass? 

 

If you are having a bad day, remember it could be worse...

If you are having a bad day,  remember it could be worse...