Thursday, January 14, 2010
Wednesday, January 13, 2010
Mama yake na Eugine Makupa amefariki dunia...
For more details about Eugine's msiba please call this number...316 299 3331.
Thanks!
Sunday, January 10, 2010
Akiondoka Torres ....haki ya nani ntaondoka!
Haya yanafuatia hali ya kiuchumi katika klabu hiyo ambayo wengi sasa wanadhani kuwa wamiliki wa klabu hiyo Tom Hicks na George Gillett watashawishika kumuuza mshambuliaji huyo ikiwa kama ofa kubwa itakuja.
Hata hivyo kwa upande wake Benitez anadai kuwa kwa mamlaka yake mshambuliaji huyo hatouzwa kwa gharama yoyote, na kama ikitokea hivyo, basi yupo tayari kujiuzulu.
Katika msimu uliopita Liverpool ilitumia kiasi cha paundi za Uingereza milioni £20, kumleta Anfield, Alberto Aquilani jambo ambalo linaonekana kuwa ni matumizi makubwa, na Benitez anasema kwa jinsi hali ilivyo kiuchumi, hawezi kushindana na timu kama Manchester United na Chelsea katika kipindi cha usajili.
Akitete usajili wake, Benitez anasema "pale walipolazimika kutumia fedha, basi usajili wao umekuwa na mafanikio na akatoa mfano wa usajili wa Torres, Javier Mascherano, Pepe Reina na Xabi Alonso.
Kwa usajili wa Robbie Keane, mhispania anasema huyo ni mshambuliaji mzuri,ila walilazimika kumuuza kutokana na kushindwa kuwaridhisha na kiwango walichokitarajia.
Ryan Babel, kwa huyu anasema alisajiliwa kwa mipango ya baadae na sasa bado wanaendelea kumshinikiza akaze msuli ili apate nafasi katika kikosi cha kwanza.
Kwa sasa Liverpool bado inasuasua katika ligi kuu ya England ikiwa imesimama katika nafasi ya saba kwenye msimamo wa ligi, baada ya kupoteza michezo mitano katika ligi hiyo msimu huu.
Najua wapenzi wana wasiwasi..anasema Benitez lakini amewataka wawe na subra kwani timu itakuwa sawa na matokeo yatawaridhisha.
Friday, January 8, 2010
Breaking News...
Hii ndiyo Bar inayosemakana kwamba Mdau Andrew Mkinga alionekana mara ya mwisho akiwa amezimika vibaya sana. Hadi kwa sasa hakuna anayejua ni nini kimemtokea kijana wetu so far. Ila kwa habari ambazo bado hatujazihakiki inasemekana kwamba ameonekana kwenye msafara wa hawa jamaa chini hapa.... Sasa sijui ilikuwaje mpaka akaishia kwenye huu msafara...Don't do two jobs...
Kama unatafuta karatasi basi mambo haya ni kawaida sana kwani utaambiwa jamaa ni cousin na mambo kama hayo kumbe anakula kilicho chako wakati wewe unapiga hours. Ila wazo la haraka haraka tu ni kwamba husifanye kazi mbili kama unampenda mke wako kwani kuna watu watatumia muda wa kazi yako ya pili kumridhisha mkeo na hii kweli inatokea all the time. Believe or not lakini kama na wewe unafanya kazi mbili basi kuna mme mwenza. Hii ni kama Law kwani haibadiliki no matter who you think you are...so quit the second job or too much overtime before hujalea mtoto ambaye si wako mwayego.USA tamu bwana...
Bia Bia...
Kamba tupu hizi...
Bwii la kufa mtu...
Thursday, January 7, 2010
Wednesday, January 6, 2010
No comment here...do you have one?
That's good reason so many men do cheat...Now check this one and tell me what would you do if you and your partner are not happy like you used to? I betcha you can't think twice here. Yaani umekunywa pombe ya maana hapa kuna aja hata ya kuogopa kufumwa? Hata mama watoto naye atakusamehe mwanawane dunia ina mengi...
Old is when...
Your friends compliment you on your new alligator shoes And you're barefoot.
'OLD' IS WHEN...
Your sweetie says, 'Let's go upstairs And make love,' and you answer, 'Pick one; I can't do both!'
'OLD' IS WHEN...
Going bra-less pulls all the wrinkles out of your face.
'OLD' IS WHEN....
You don't care where your spouse goes, just as long as you don't have to go along.
'OLD' IS WHEN...
You are cautioned to slow down by the doctor instead of by the police .
'OLD' IS WHEN..
'Getting a little action' means you don't need to take any fiber today.
'OLD' IS WHEN...
'Getting lucky' means you find your car in the parking lot.
'OLD' IS WHEN...
An 'all nighter' means not getting up to use the bathroom.
AND
'OLD' IS WHEN...
You are not sure if these are facts or jokes?
Ustadhi afumaniwa.
Mmmh...Hii kali kweli kweli!
GOD BLESS OUR TROOPS.
Tuesday, January 5, 2010
Kila Mtu Atauchukua Mzigo Wake Mwenyewe...
Mambo ya kawaida jamani...
Washkaji Mungu akipenda tutaonana basi.........ila kumbuka kuwa Mungu ni mmoja na siku zote anafanya maajabu kwahiyo si mbaya kama tukimshuru kwa kila nia.....
Mungu awabariki watu wote wa Dunia hii.Amen!
9 Things I Hate About Everyone
1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?
2 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V.. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually.
3 When people say 'Oh you just want to have your cake and eat it too'. Damn right! What good is cake if you can't eat it?
4 When people say 'it's always the last place you look'. Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they? cause I amGonna Kick their asses!
5 When people say while watching a film 'did you see that?'. No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor.
6 People who ask 'Can I ask you a question?'.... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine?
7. When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.
8 When people say 'life is short'. What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?
9 When you are waiting for the bus and someone asks 'Has the bus come yet?'. If the bus came would I be standing here, dumbass?
If you are having a bad day, remember it could be worse...










