
Mdau wa kulia pichani kweli ni mlevi, kwani huwezi kulea kwa kiasi hicho na kuendelea kuing'ang'ania lager kama vile! Pombe za mchana zina mengi....Huyu mdau wa kushoto nadhani ni mlinzi na sasa anauchapa usingizi kwasababu ya uchovu wa kuwa macho usiku mzima. Hivi unaweza kunisaidia kunipa idea "why" huyu mdau wa kulia ameurusha ulimi wake nje? I was thinking kwamba jamaa anakula nzi kwasababu Bongo kuna nzi wengi na wanakuwa wakubwa kama mbung'o...
No comments:
Post a Comment