
Yaani kweli Bongo kuna mengi kwani watu wanakula "BATA" na ndala? Sasa kama wewe unakwenda kula tunda na hata huwezo wa kununua viatu tu huna unataka kuniambia kwamba una akili kweli? Ukikanyagwa je? Ndiyo maana nyapu za Bongo kucha mbaya kwani ni kwasababu ya kukanyagwa sana Kiwanja! This needs to stop!
No comments:
Post a Comment