
Sasa unataka kuniambia kwamba kweli hapa kuna umoja jamani? Wewe kama unaweza kula bata Monday hadi Sunday na unajua kuna watoto kama hawa wanahitaji msaada basi lazima uje kuwa "KUNI" motoni nakwambia. Mimi siwezi kuamini kwamba mtoto mdogo kama huyu ataweza kufika mbali kiuchumi kwani mgogo wake hadi hapo tu utakuwa umechoka mbaya na unaniambia aende shule ana afaulu shule ya msingi. Serikali yetu inabidi kuweka mitihani tofauti kidogo kwani kwa wale wanaotaabika kwenda shule basi wapewe kiji"favor" bwana!
No comments:
Post a Comment